Ule uongo wa miaka nenda ndio umefika tamati

Ule uongo wa miaka nenda ndio umefika tamati

nachukia watu wanaoandika bila kuwa na statistics , toka lini mapato ya utalii Kenya yakawa makubwa kuliko Tanzania???

2013 Kenya total receipt 1.1 billion USD
2013 Tanzania total receipt 1.9 billion USD

2014 Kenya total receipt 1.5 Billion USD
2014 Tanzania total receipt 2.0 Billion USD

average expenditure per day per tourist Kenya 204 USD
Tanzania 317 USD per day

GDP contribution Kenya 4.8 %
Tanzania 17%

Pasco nakuheshimu, jifunze kuandika kwa kutumia data

Kenya wanachotuzidi ni idadi ya watalii ambapo wanapata average ya 1.7 million tourists annually wakati Tanzania tunapata 1.2 million annually (2014 stats). na hii inasababishwa na policy yetu ya "low volume high yield"
wakenya policy yao ni "mass tourism"
You made my day! What a punch! Pasco ni kati ya wanaJF wanaojifanya wajuaji wa kila kitu...kisa tu ana uwezo wa kuandika basi tayari anajiona ni mtaalamu wa kila kitu! Huu ni ujuha! Sasa tazama hizi takwimu zinavyo muumbua.
 
Kijana wa ARUSHA Mwenye AKILI na ANAYEJITAMBUA Aolewa MAREKANI...........................

12279164_807943905980853_3260613062629581131_n-jpg.307523
12279164_807943905980853_3260613062629581131_n-jpg.307523
Jamaa alikuwa mpiga debe mzuri sana wa UKAWA wakati wa kampeni. Sasa hivi anapumuliwa kisogoni huku anazungusha mikono tu. Hiyo ndio hulka ya UKAWA....Ni ubwa.ubwa mwanzo mwisho.
 
Mkuu sana Pasco ukienda pale Taveta ukaona serikali ya Kenya wanachokifanya kwenye ule mji lazima utashtuka...

Huu uwanja wao unaweza ukaua kabisa KIA yetu tusipokuwa makini, maana sio wapandaji mlima tu, mpaka wale wa kwenda Mbugani kuna big chances za kuopt kushukia Taveta kuliko Jomo Kenyatta au KIA... Sie bado tuko kwenye sinema za kushtukizana na kubomoleana nyumba wakati wenzetu wako na hesabu za miaka 10 mbele...

Kama mnakumbuka wiki ya mwisho ya utawala wake JK alitenbelea Kenya na kati ya mambo aliyoyafanya ni kushiriki ufunguzi wa kiitwacho EA Highway ikiianzia Holili - Namanga kama sijakosea kwa kilichodaiwa kurahisisha ferrying ya watalii na huduma zingingine from either side.

Hata hivyo its obvious upande mmoja umejiandaa kuumaliza upande mwingine umakini wa hali ya juu usipikuwepo.

Prof. Maghembe na Gen. Millanzi wanapaswa kuwa na strategies za hali ya juu kwenye hii issue.
 
Back
Top Bottom