Watanzania tuna safar ndefu. uboreshajinwa miundombinu ya soko umeshaanza, wao bado hawaridhiki,? dah hatari kweli. Bila ubabe, pale pangeendelea kuwa vile.
Niko upande wa RC Chalamila, somtimes watanzania wanahitaji ubabe wa namna ile ili mambo yaende.
1. Mahitaji ya umeme yameongezeka mara 8 zaidi ya awali.
2. Tunahitaji Tri+ kufanya maboresho ya miundombinu ya njia za umeme
3. Hata bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere likikamilika umeme utaendelea kuwa wa mgao kwakuwa shirika litauza nje ili kulipa deni la ujenzi wa bwawa.
TANESCO NI...
Utofauti wa wale wa TEC na wengine huanzia hapa!
Hiyo pesa ni kubwa sana, kama wangejitolea hata kujenga shule au hospital na kuipa jina lake kwa heshima ya mchango wake katika kanisa, nadhani ingekuwa bora zaidi.
Hapo running cost ya hilo gari ( wese+ service) ni gharama, ambazo pengine...
Ukweli Mchungu! Watanzania tunahaja ya kuwekeza pia katika Lugha ya Kiingereza..
Sometimes, mtu anakuwa na kitu kichwani lakin anashindwa kukipresent kwa ufasaha sababu ya language barrier.
Unasahau kama fedha hizo hizo ndio wanalipana mishahara minono na kukopeshana!?
Jipe muda kufuatilia fedha ambayo iko nje ya mzunguko wa Bima, utashangaa akili ya mtu mweusi.
We jamaa, hufaham maana ya tangazo? ile ni sehemu ya mkataba.
Ongea kitu kingine! nini maana ya zile condition zilizowekwa ili mtu ajitafakari na nafasi tajwa?
Mkuu, kesi yao iko ivi! walitoa tangazo, mpaka grades za salary, mwisho wa siku kilichotokea ni kuwa mkataba umekuwa tofauti na namna walivyo tangaza.
Mfano, badala ya ngazi A ya mshahara kama walivyo tangaza unakuja kumpa ngaz c ambayo haikuwepo kwenye tangazo.
Hii ni sahihi? naamini watu...
fox,
Muktadha wa ujumbe wangu umeshindwa kuujua, na sidhani kama utaujua kwa huo uelewa wako
Nadhani fox, bora ukae kimya, acha waelevu wasome ujumbe, inapowezekana watasaidiwa, ikishindikana bado kuna room kwa wahusika kuchukua hatua zaidi, kama unavyoshauri wewe!!
Pia, sio lazima kila kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.