makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,993
- 104,498
Kibu kuna vitu anaimarika, japo matumizi ya akili bado yako chini kuliko nguvu zake... Kibu akiwa na matumizi ya akili makubwa kuliko nguvu atakuwa hatari zaidi.
Phiri na Kanute watoke nje, weka Baleke na Luis.Chama zungusha hapo
Nawenyewe wakijituma hawakosi kuwagonga 3Ngoja tuone kipindi cha pili kitakavyokuwa ila Power Dynamo wanafungika vizuri endapo wachezaji watajituma
Wanashiba mno hawana masimango..ukisimangwa lazima umuonyeshe tajiri ww ni nani 🤣🤣Phiri na Kanute watoke nje, weka Baleke na Luis.
Lakini zaidi, Simba hawajitumi, tatizo ni nini?
Wanacheza kifaza mnoo.
Tunacheka mnavyoteseka!Mbona hawa uto wanajichekesha sana humu kwao wamefunga? Maana sina mzuka napo huko...
Mwambie aongeze mashuziKuna shabiki hapa pembeni anapresha ya mechi anatoa mishuzi sio ya taifa hili.
Nyie msioteseka mna goli ngapi mpaka sasa?Tunacheka mnavyoteseka!
Uchezaji wao unakera sana,Wanashiba mno hawana masimango..ukisimangwa lazima umuonyeshe tajiri ww ni nani 🤣🤣
Sio kama Pacome zouzou au Azizi KiHizi midfielder za simba ngumu mnoo kama zinakula mawe, haziwezi kutuliza timu, namba 6 anacheza nje ya eneo kwa muda mwingi,kiungo hakina commanding.
Atoe huyu kanoute aingie ngoma.. simba wanahitaji na namba 8 mwenye akili,uwezo sawa ama zaidi ya NGOMA
Ha ha haDah inabidi Wachezaji wa simba wapelekwe kwa mwamposa
Tusubiri mkuu, Simba anapigika 3 bila leo.Timu ni mbovu mno yaani ya kawaida tu inakuzwa na maneno ya mashabiki
NDIO, SIMBA ANAPIGWA GOLI 3 HAPA. BADO GOLI MBILI ZITIMIE 3.Umesema 3-0 Simba anakufa?