Umeshafikia kiwango cha addiction. Ni ngumu sana kuacha. Inahitaji neema ya Mungu tu.
Nina kaka yangu alianza kujifunza kunywa pombe akiwa kidato cha 2. Akawa anakunywa kidogo kama starehe tu. Tulimsihi sana aache maana akishazoea hatoweza kuacha. Lakini alitubishia akiamini akiamua tu anaweza...
Nyerere aliona mbali sana kutaifisha shule zote ziwe za serikali. Alijua watakaoharibu elimu ni wale ambao watoto wao hawasomi shule za serikali.
Leo hii mtu anasema lugha ya kufundishia iwe kiswahili. Lakn private waruhusiwe kufundisha kiingereza. Maana yake soko la ajira litakamatwa na...
Kwa nini wengine wakitoa Tshs 10,000/= wanapata umeme mwingi kuliko mimi?
Bei ya umeme inatofautiana kutokana na kundi la matumizi mteja alilopo mfano Matumizi Madogo ya nyumbani (D1) ambao wanatumia umeme wa majumbani ambao matumizi yao ni wastani wa KWh 75 kwa mwezi wananunua umeme uniti moja...
kuna rafk yangu kanunua TV sumsang 43'' bland new lakn haijachukua mwez ikaungua. kuna mwingine ana hiz za kichina lakm zina miaka ipo tu inadunda. halafu hizo za bei chafu zikiharibika kutengeneza ni bora ununue nyingine.
et unapasha kiporo chenu. Hahahahahhahahhaa.
Ila hizi njia za kisasa kwa kweli ni majanga. Ukizitumia mda mrefu hata mwanamke akija kushika mimba kuna uwezekano mkubwa wa mimba hiyo kumsumbua zaid kuliko kama asingekuwa anatumia hiz njia za kisasa.
Swali ni kwamba je wangap wamembambikiziwa kesi kama huyu? Huenda wapo wengi sana. Leo kambambikiziwa huyu inawezakana kabisa kesho akawa wewe au mimi.
Mh. Rais JPM itabidi afumue mfumo mzima wa utendaj wa jesh la polisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.