Recent content by prosperjuma

  1. prosperjuma

    Kuogopa kununua Toyota Prius ni ushamba au umasikini

    F Fanya utafiti vizuri kabla ya kupinga
  2. prosperjuma

    Ulevi Unaninyima Amani. Ninaomba Msaada wenu

    Umeshafikia kiwango cha addiction. Ni ngumu sana kuacha. Inahitaji neema ya Mungu tu. Nina kaka yangu alianza kujifunza kunywa pombe akiwa kidato cha 2. Akawa anakunywa kidogo kama starehe tu. Tulimsihi sana aache maana akishazoea hatoweza kuacha. Lakini alitubishia akiamini akiamua tu anaweza...
  3. prosperjuma

    Kwanini Mzanzibar Shaka Hamdu Shaka ni Mkuu wa Wilaya bara, na Zanzibar hakuna Mtanganyika anayeongoza?

    Ukoo wa mwinyi upo zanzibar kule. Mkuranga kanua ardhi tu.
  4. prosperjuma

    Mbunge Jumanne Kishimba aitaka Serikali kusitisha ujenzi wa madarasa

    Nyerere aliona mbali sana kutaifisha shule zote ziwe za serikali. Alijua watakaoharibu elimu ni wale ambao watoto wao hawasomi shule za serikali. Leo hii mtu anasema lugha ya kufundishia iwe kiswahili. Lakn private waruhusiwe kufundisha kiingereza. Maana yake soko la ajira litakamatwa na...
  5. prosperjuma

    Kodi kwa 'watoto' wa miaka 18?

    Hata sasa unakatwa kodi kwenye hizo huduma
  6. prosperjuma

    Anayeifahamu hospitali ya Wilaya Morogoro Vijijini

    aende kwanza. hizo changamoto atazijua huko huko
  7. prosperjuma

    Sudan Kusini itabadili muda kwa saa 1 kwa kuhama ‘time zone’

    Kumbe tunaweza amua mwezi uwe na wiki 2 tu
  8. prosperjuma

    Simiyu: Mkuu wa Mkoa apiga marufuku tabia ya Madiwani kuazimia kuwafukuza Watumishi bila ya sababu za msingi

    Madiwani ndio wenye halmashauri. Wakiazimia hawakutaki ujue utafute pa kwenda
  9. prosperjuma

    Simiyu: Mkuu wa Mkoa apiga marufuku tabia ya Madiwani kuazimia kuwafukuza Watumishi bila ya sababu za msingi

    Madiwani ndio wenye halmashauri. Wakiazimia hawakutaki ujue utafute pa kwenda
  10. prosperjuma

    Tariffs za TANESCO zipoje?

    Kwa nini wengine wakitoa Tshs 10,000/= wanapata umeme mwingi kuliko mimi? Bei ya umeme inatofautiana kutokana na kundi la matumizi mteja alilopo mfano Matumizi Madogo ya nyumbani (D1) ambao wanatumia umeme wa majumbani ambao matumizi yao ni wastani wa KWh 75 kwa mwezi wananunua umeme uniti moja...
  11. prosperjuma

    Ubora wa tv za evvoli

    kuna rafk yangu kanunua TV sumsang 43'' bland new lakn haijachukua mwez ikaungua. kuna mwingine ana hiz za kichina lakm zina miaka ipo tu inadunda. halafu hizo za bei chafu zikiharibika kutengeneza ni bora ununue nyingine.
  12. prosperjuma

    Athari za kutumia njia za uzazi wa mpango za kisasa

    et unapasha kiporo chenu. Hahahahahhahahhaa. Ila hizi njia za kisasa kwa kweli ni majanga. Ukizitumia mda mrefu hata mwanamke akija kushika mimba kuna uwezekano mkubwa wa mimba hiyo kumsumbua zaid kuliko kama asingekuwa anatumia hiz njia za kisasa.
  13. prosperjuma

    Polisi wakiri kumbambikia kesi ya mauaji mfanyabiashara Edward Matiku Nduli

    Swali ni kwamba je wangap wamembambikiziwa kesi kama huyu? Huenda wapo wengi sana. Leo kambambikiziwa huyu inawezakana kabisa kesho akawa wewe au mimi. Mh. Rais JPM itabidi afumue mfumo mzima wa utendaj wa jesh la polisi.
Back
Top Bottom