Mbunge Jumanne Kishimba aitaka Serikali kusitisha ujenzi wa madarasa

dr namugari

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
9,401
15,980
Tucheke kidg

Jamaa anaishauri serikali kuachana na ujenzi wa shule na badala yake ifanye Mambo mengine kwani madarasa yalioko yanatosha kbsa anataka serekali ianzishe utaratibu wa masomo kwa kupokezana kwamba kuna watakaoingia asbh hadi saa saba kisha wa mchana wengine waingie nao hadi saa jioni 12 nao watoke

Kwa kufanya hvyo pesa za kujenga Madarasa iboreshwe maslahi ya walimu badala kujaza madaraza nchi nzima bila kuwa utaratibu unaoeleweka, anasema itafika wakati nchi nzima imejaa shule

Anasema " Hakuna sababu ya kujenga tena madarasa anasema miaka yote sisi tunaangaika na Madarasa na vyoo wkt kuna uwezekano kabisa wa kubadili utaratibu wa kusoma. Itasadia sana serikali kufanya Mambo mengine ya muhimu

Mimi pia naunga mkono hoja haiwezekani kila mwaka sisi tunakimbizana na ujenzi badala tubuni mbinu na njia za kuweza kupeleka elimu na kuongeza nafasi za ajira kwani kutakuwa na walimu wa mchana na wa jioni na hakika tutaokoa maeneo na muda pia
 
Tucheke kidg

Jamaaa anaishauri serikali kuachana na ujenzi wa shule na badala yake ifanye Mambo mengine kwani madarasa yalioko yanatosha kbsa anataka serekali ianzishe utaratibu wa masoma kwa kupokezana kwamba Kuna watakoa ingiaa asbh had saa Saba Kisha wa mchana w wengine waingie nao Hadi saa jioni 12 nao watoke

Kwa kufanya hvyo pesa za kujenga Madarasa iboreshwe maslai ya walimu badala kujaza madaraza nnchi nzima bila kuwa utaratibu unao eleweka anasema itafika wakt nchi nzima imejaa shule

Anasema " Hakuna sababu ya kujenga Tena madarasa anasema miaka yote ss tunaangaika na Madarasa na vyoo wkt Kuna uwezekano kabisa wa kubadili utaratibu wa kusoma.itasadia sana serkali kufanya Mambo mengine ya muhimu

Mimi pia Naunga mkono hoja haiwezekani kila mwaka ss tunakimbizana na ujenz badla tubuni mbinu na njia za kuweza kupeleka elimu na kuongeza nafsi za ajira kwani kutakuwa na walimu wa mchana na wajioni na hakika tutaokoa maeneo na Muda pia
Huyu mzee anajielewa sana na akili yake ni kubwa sana , huwa namfatilia kauli zake bungeni ni wachache sana wanao mwelewa ila zina strong logic ndani yake, ukiangalia ni kweli baada ya saa6 huwa hakuna la msingi walimu wanafanya, ikifika saa 8 wanafunzibwanaenda hm mda wote mwingine madarasa yapo wazi, ingetosha saa6 vijananwaondoke then walimu wafundishe kwa shifti wengine waingie mda uliobaki hadi saa 12
 
Huyu mzee anajielewa sana na akili yake ni kubwa sana , huwa namfatilia kauli zake bungeni ni wachache sana wanao mwelewa ila zina strong logic ndani yake, ukiangalia ni kweli baada ya saa6 huwa hakuna la msingi walimu wanafanya, ikifika saa 8 wanafunzibwanaenda hm mda wote mwingine madarasa yapo wazi, ingetosha saa6 vijananwaondoke then walimu wafundishe kwa shifti wengine waingie mda uliobaki hadi saa 12
Kbsa kbsaa yuko sahihi
 
Akili kubwa sana

Nimewahi kuzungumza naye kwa simu yupo smati sana na ana hoja nzito

Elimu ina njia nyingi tu za kusambazwa hasa tukiwa tupo na internet 2.0

Kuwe na baadhi ya shule za Open Education za majaribio kama tu OUT

-Mshauri (consultant) multpurpose wa kujitegemea😅
 
Mh mbunge yupo sahihi,pia itapunguza usumbufu na gharama kwa shule kuandaa vyakula kwa wanafunzi.
Mpango huo uandaliwe kwa makini itaisaidia taifa kuokoa gharama kubwa zisizo na umuhimu na kuboresha elimu
 
Tucheke kidg

Jamaaa anaishauri serikali kuachana na ujenzi wa shule na badala yake ifanye Mambo mengine kwani madarasa yalioko yanatosha kbsa anataka serekali ianzishe utaratibu wa masoma kwa kupokezana kwamba Kuna watakoa ingiaa asbh had saa Saba Kisha wa mchana w wengine waingie nao Hadi saa jioni 12 nao watoke

Kwa kufanya hvyo pesa za kujenga Madarasa iboreshwe maslai ya walimu badala kujaza madaraza nnchi nzima bila kuwa utaratibu unao eleweka anasema itafika wakt nchi nzima imejaa shule

Anasema " Hakuna sababu ya kujenga Tena madarasa anasema miaka yote ss tunaangaika na Madarasa na vyoo wkt Kuna uwezekano kabisa wa kubadili utaratibu wa kusoma.itasadia sana serkali kufanya Mambo mengine ya muhimu

Mimi pia Naunga mkono hoja haiwezekani kila mwaka ss tunakimbizana na ujenz badla tubuni mbinu na njia za kuweza kupeleka elimu na kuongeza nafsi za ajira kwani kutakuwa na walimu wa mchana na wajioni na hakika tutaokoa maeneo na Muda pia
Sababu ya kujenga shule Kila mwaka wanaisababisha wao wenyewe

Wamelegeza sana kwenye system za mitihani ili watu wafaulu sana

Kila mwaka ufaulu unaongezeka tu ila wanaofaulu wengi ni vilaza, yaani form four aliyepata three unakuta hata ukimpa mtoto wako amfundishe introduction to biology hawezi kutoboa.

Mfumo wa elimu unatakiwq uwe tough, Kila level wapungue watu wengi na waende walio Smart


ili watu wengine watoke kwenye mfumo mapema waanze mishe mishe za kitaa na kuwaepusha kuwa graduate wanaolalamikia ajira ngumu kisa hawawezi kutoboa kwenye interview
 
Yaani ufaulu wa advance siku ni 99% na Kila mwaka zinaongezeka point kukaribia 100


In short hii ni miradi ya watu
 
Nyerere aliona mbali sana kutaifisha shule zote ziwe za serikali. Alijua watakaoharibu elimu ni wale ambao watoto wao hawasomi shule za serikali.

Leo hii mtu anasema lugha ya kufundishia iwe kiswahili. Lakn private waruhusiwe kufundisha kiingereza. Maana yake soko la ajira litakamatwa na waliosoma private. Ambao ni watoto wao.

Tusidanganyane. English ndio fist language kwenye national&internation market.

Et english ni ukolon. Wakat watoto wao wanawatafutia english media. Unafk

Huyu anasema shule zisijengwe. Yatumike madarasa yaliyopo. Kana kwamba hayo madarasa yenyewe yapo. Baada ya miaka 50 itakuwaje? Yeye watoto wake wamesoma private. Ambako kuna madarasa ya kutosha. Ila huku serikalini anasema hayo hayo watoto wawe wanaingia usiku kusoma. 😭😭
 
Naunga mkono hoja ila naongezea,SERIKALI ilirudishe kwa NGUVU kampeni ya UZAZI wa MPANGO,..

Tuwe wa kweli BIRTHRATE ipo juu hasa baadhi ya mikoa kama Kigoma,Simiyu,Shinyanga,Singida na hata Dar Es Salaam..yaani mikoa hii hasa hiyo mitatu ya mwanzo ni kawaida sana,kwa Mama kuzaa watoto 8-10 ilihali hana rasilimali za kuwatunza,hii huathiri hata uwezo wa miundombinu ya shule..ndio maana shule hazitoshi kila siku..TUZAE kwa KIASI NDUGU ZANGU
 
Tucheke kidg

Jamaa anaishauri serikali kuachana na ujenzi wa shule na badala yake ifanye Mambo mengine kwani madarasa yalioko yanatosha kbsa anataka serekali ianzishe utaratibu wa masomo kwa kupokezana kwamba kuna watakaoingia asbh hadi saa saba kisha wa mchana wengine waingie nao hadi saa jioni 12 nao watoke

Kwa kufanya hvyo pesa za kujenga Madarasa iboreshwe maslahi ya walimu badala kujaza madaraza nchi nzima bila kuwa utaratibu unaoeleweka, anasema itafika wakati nchi nzima imejaa shule

Anasema " Hakuna sababu ya kujenga tena madarasa anasema miaka yote sisi tunaangaika na Madarasa na vyoo wkt kuna uwezekano kabisa wa kubadili utaratibu wa kusoma. Itasadia sana serikali kufanya Mambo mengine ya muhimu

Mimi pia naunga mkono hoja haiwezekani kila mwaka sisi tunakimbizana na ujenzi badala tubuni mbinu na njia za kuweza kupeleka elimu na kuongeza nafasi za ajira kwani kutakuwa na walimu wa mchana na wa jioni na hakika tutaokoa maeneo na muda pia
Ni wazo zuri kabisaaa.
Ila serikali ihakikishe shule kubwa zina kumbi kwa ajili ya mitihani.
 
Back
Top Bottom