rlhaule
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 686
- 181
Bidhaa ngingi bora ukiangalia hukosi jina china. Itafute hiyo brand ujue km ni kweli ya italy
Wakuu habari zenu, mwez mmoja uliopita nilinunua tv 32'' kutoka jumia (online shopping) kwa kiasi cha 450000 mpaka moshi. Nilivutiwa kununua tv hii sababu jumia walidai ni original brand from italy. Pia specification za tv zilinivutia sana. Specification n kama ifuatavo.
Screen resolution 1920×1080
Display screen. LED
Ports. Ina port mbili za HDMI, T-LINK naweza tumia simu ikareflect kwenye tv, port mbili za USB,
Power, ina sehemu mbili za umeme yani 12v DC na 220v AC
Security, unaweza weka password kama ukizima tv wakati wa kuwasha lazima uweke password.
Warranty . 2 years.
Wakuu naombeni kujua ubora wa tv hii kwa anae fahamu au anae tumia, maana hii tv ilivo kuja kwa nyuma imeandikwa made in PRC baada ya kugoogle hyo prc ikaja PEOPLE'S REPUBLIC OF CHINA. na huku kwnye screen kumepambwa na bendera za italy, na box kwa pemben limeandikwa produced for Evvoli Milan italy! Nachanganyikiwa made in china na produced for evvoli Milan italy. Mpaka sasa sijaona tatzo la kiufund kwny tv picha ni quality sana sauti ni high quality lakin naomben mtazamo wenu juu ya tv hii.