Recent content by Propofol 0

  1. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Hiyo haiwezi kuwa used,ikiwa used ujue imekufa jumla
  2. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Sio Mungu tu tuliyemkataa

    Hizo contrast ndizo hata Mungu kaziweka kwa kusudi la asili ili wenye upeo waelewe maana halisi ya kusudi la uwepo wao,duniani ni mahali pa kuelewa maana hata uwapo gizani,ni mahali pa makamnda wa roho kuzisoma alama za nuru katikati ya giza na kelele za dunia,wewe ni moja wapo wa kelele za...
  3. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Ikiwa kila kitu kingekuwa katika ukamilifu hakuna ugonjwa wala kifo, dunia hii ingekuwa Paradiso tayari. Lakini asili ya maisha ya duniani ni kuwa na mapungufu, na hayo mapungufu ndiyo yanatufanya tutafute maana zaidi ya maisha haya.Vimbunga,vifo,mafuriko na mabaya yote yasiyoelezeka ndilo kiza...
  4. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Je, vidonge vya ku "cream" ngozi ni salama?

    Wee tumbili nini? Amekueleza madhara yanayoweza kutokea ama yaliyowahi kuwakuta watu- sasa unapinga nini? Umeuliza ili usikie sifa nzuri ee? Sasa kwa nini unasumbua watu si uyatumie tu kama taarifa mbaya huzitaki.
  5. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Yaani Marekani anachezewa hivi na Irani? Kweli hakuna marefu yasio na mwisho

    Sera za washirika wa Iran si za kelele kama za washirika wa Ukraine! Ndiyo maana unaona marekani analalamika kuwa china inaisaidia Iran kwa siri- kifupi Iran ni wasiri sana pamoja na washirika wake
  6. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Yaani Marekani anachezewa hivi na Irani? Kweli hakuna marefu yasio na mwisho

    Funguka akili kaka, 1.Iran imetafutwa miaka mingi sana na marekani hivo ilijiandaa. 2. Hayo maandalizi hayakua ya Iran pekee bali washirika wakubwa wanaoelewa hila za USA—Russia,china,Korea ya juu na nchi za kijamaa zote hizo zipo nyuma ya Iran toka miaka mingi nyuma kwani walijua ipo siku USA...
  7. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Afrika ni Afrika tu aisee!

    ameshindwa kumfukuza huyo mdudu badala ya kumuua? wewe unaona umeandika nini hapo, swali lako unaona lina mtiririko sahihi wa lugha? Ulitaka kumaanisha hivi? 👇🏻 Kwa nini hakumfukuza mdudu, akaishia kumuua? au.. kwa nini alimfukuza wakati alipaswa kumuua?
  8. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Spika mstaafu Tulia Ackson ana Siri ipi?

    😂 unakujua Ileje mzee kaka?
  9. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Mnaikumbuka ile 20 bilioni ya kazi maalumu. Huyu mama hapana

    Umeandika nini sasa? Umeitaja bill.20 imefanya nini sasa? Kama unajua si useme. Maelezo umeandika kama mfu atembeaye duniani bila makazi- umepigwa na upofu wa ufahamu hujui unaelezea nini. Kama huwezi kuwasilisha ujumbe kwa watu kaa kimya ujifunze,maarifa yako finyu usitoe hoja inayohitaji...
  10. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Leteni vitisho tena tutaheshimiana walahi bado siku 12

    Aisee binadamu hawaeleweki nyee!
  11. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Hapo mlima Kitonga mbona kuna watu hawaeleweki aisee

    Hadi upite na usafiri binafsi ndipo utawaona vipi wengine wakiwa kwa bus hawataona?
  12. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania Rekodi zinaonyesha Spika atakuwa mpya sio tena Dr. Tulia

    Kwahiyo nawe unakubali kuwa CCM ni majizi Lucha?
  13. Propofol 0

    JamiiForums Tanzania GE2025 Naona dalili ya watu wengi kutojitokeza kesho. Je, Mgombea asipopata 50% itakuwaje?

    Watachota vipi wakati kura zinapigwa na kuhesabiwa manual- wanaweza kuiba ila siyo kwa njia uliyoisema wewe! Usizungumzie tena hayo mawazo Yako sawa?
Back
Top Bottom