Spika mstaafu Tulia Ackson ana Siri ipi?

Spika mstaafu Tulia Ackson ana Siri ipi?

Muacheni Aishi maisha yake.
Kila akipost mnatoa TAFSRI.sio sawa kama ameumizwa kupigwa chini uspika angesema.
Yote Kwa yote anatakiwa akubali
 
communist kuuwa ni jadi yao, stalin aliua 40 milion ukrainians kuestablish communism, alisema, ''a man death is a tragedy, the death of a million is statistics'', communists wanaweza kuua nusu ya nchi yote for power, i.e wakishaanza kuuwa huwa hawaachi mpaka mwisho kwa maana inazoeleka, kifo cha kwanza ndiyo huwa kigumu baada ya hapo ni mpaka mwisho, communist siyo kabisa, be safe ...
Akina nani ni communists boss?
 
Wakati huu ambao wambea tumepumzika na mambo ya wasanii, bado tunaendelea kupata burudani kupitia haya yanayoendelea.

Inafurahisha sana namna watesi wetu wanavyokanyagana, kila siku kuna jipya hawatupumzishi.
Hakuna kuwazungumzia wasanii mpaka akili zikae sawa.

Link zao sponsored insta/facebook ni kuzipita kama unaaga mwili.
 
Bro unaweza kuwa mnyama lakini Kuna muda unafika unaona no inatosha, binafsi tulia namuelewa sana kwani kufanyakosa sio kosa kosa kurudia kosa kwa binadamu mwenye moyo wa nyama huwezi ridhika na hiki kinacho endelea tz
 
communist kuuwa ni jadi yao, stalin aliua 40 milion ukrainians kuestablish communism, alisema, ''a man death is a tragedy, the death of a million is statistics'', communists wanaweza kuua nusu ya nchi yote for power, i.e wakishaanza kuuwa huwa hawaachi mpaka mwisho kwa maana inazoeleka, kifo cha kwanza ndiyo huwa kigumu baada ya hapo ni mpaka mwisho, communist siyo kabisa, be safe ...
With all due respect, CCM na viongozi wake siyo wakomunisti. Hata kidogo wala hawana uhusiano. Hawana itikadi wala dira. Wao ni kula na kutapanya mali za nchi.
 
Back
Top Bottom