Recent content by Project Engineer

  1. P

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Niliwahi kwenda kwenye taasisi fulani watumishi wamepaki Range,Prado, harrier anaconda, Vanguard,in short inaonekana wanashindana kuendesha expensive cars
  2. P

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Hiyo hela kwa wengine ni ya kugongea tu,
  3. P

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    -Mademu wa kugonga ni wale wa Riverside,mwananyamala buku5 -Pia usijaribu kuanza kuishi na demu utayumba -bia kwa mwezi kunywa 4 tu
  4. P

    Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    Mfano stori ya ubakaji Clinton ametajwa
  5. P

    Umepitia Epstein files?Nini kilikuacha mdomo wazi ona hii

    Mkuu Fydel, nilienda na mimi kupita pita kwenye mitandao kama Chat GPT,Gemini nk
  6. P

    Nikimuona mwanamke ana miaka kuanzia 40 na kuendelea hajaolewa, inanitafakarisha sana

    most of them walikuwa wanaringa sana wakiwa kwenye miaka yao ya 20/30 sasa hiyo age ya forty hawana uzuri tena kama waliokuwa nao mwanzoni.
  7. P

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mishahara ishaisha ni muda wa Wenye magenge na maduka ya mangi kuwagongea wake zenu na mademu zenu.
  8. P

    Kipi kianze, kujenga nyumba au kununua gari la kutembelea?

    hilo gari linakugharimu mafuta,service,kuosha gari,fine za police,
  9. P

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mshahara una koma, moja
Back
Top Bottom