Kila mtu ana safari yake binafsi ya maisha na malengo tofauti
Unakuta mtu anajishuhulisha na masuala ya elimu, kazi, na kujijenga binafsi vitu ambavyo ukiamua kukomaa sana vinakunyima muda wa mahusiano unajikuta at 35 upo financially vizuri tu lakini Kila mwanaume anakuogopa na hapo hukuwa na strong relationship nyuma zaidi ya one night stand na tena unafanya kwa ajili tu ya nature
Sio wote wanatabia mbaya
Hamna mwanaume anaye muogopa mwanamke msomi/mwenye hela, ndio maana wanagongwa na kutongozwa ,ila likija swala la kumake decision ya kuoa, wanaume huwaga hangalii unaelimu kiasi gani au unahela kiasi gaini au uzuri. Mara nyingi atarudi kwenye heshima na utii, tunawashuhudia wadada kibao huko makazini wana hela,ila wanavyo funuliwa na wafanyakazi wenzao, waume za watu, vimario nk hawaogopwi kutongozwa, ila wengi wao wanakiwa less favorable likija swala la mke bora.
Na wengi waa ndio hujaga kuwa kimbilio la vibeni ten na wanaume wanaopenda kulelewa na wao kwa ndio huendesha mahusiano kiuchumi, fuatilia mishangazi hii ya mjini wengi wao kiuchumi wapo vizuri, walijariu kutafuta wanaume wa maana baada ya kushindwa ndipo huamua kuangukia kwa kijana mpenda slope.
Ila hamna mwanaume anaye muogopa mwanamke kisa yupo financial stable/elimu kubwa/mzuri sana hayupo, ila wengi wao wanaattitude mbaya ndio maana huishiwa kuchezewa.
Mfano ukifuatilia Podcast nyingi haza za ulaya wanzo zungumzia maswala ya kijamii, utagundua sio Africa hata ulaya kuna lundo la wanawake kibao ambao 30+ wanatafuta ndoa kwa nguvu ndio maana,US kuna party zinaandaliwa special kwa ajili ya kutafuta wenza ,ila zaidi ya 90% wanao hudhuria ni wanawake na tena wanalipia na wengi wao financial wapo vizuri, hiyo haitoshi China napo ni hivyo hivyo, tena China kuna mwanamke bilionea yeye anakiwanda cha fenicha age yake 38,kila events yupo, yupo kwenye dating website na anafahamiana mpaka na wamiliki ila wapi bado hajapata mume,niliona kuna dada mmoja coder,anaapps yake inafanya vizuri programmer mzuri na bbl kafanya bado anangaika kutafuta mume, kunamwengine anaaprtment mbili China anamiliki magari makali bado anatafuta mume.
Hakuna kitu kibaya kama upweke, ndio maana vibibi vya ulaya huvichukia vijana wa Africa vikaishi navyo,hawa wakina Shilole, Aunt,Kajala, Uwoya,Wema nk,msione wanapenda kujiweka kwa vijana na siku mahusiano hayo yanazidi kukua na ishakuwa kawaida na bodaboda na madereva bolt na ubber wamechangamkia fursa.