Wa kutema madini uwewe? ukipewa like unashiba? basi nenda kwambie mzee wako kuwa MCHUNGUZI HURU kaninyima like?usianze ligi!....we hujawahi ona 'madini' humu kwenye majukwaa yote kwa miaka 3?
Ka unatumia kitochi sema,usivunge!
Wa kutema madini uwewe? ukipewa like unashiba? basi nenda kwambie mzee wako kuwa MCHUNGUZI HURU kaninyima like?
Mm kwa mara ya kwanza ntakukopesha na sitokudai usipolipa bas sahau mkopo wangu kwa mara nyngne.
teh teh teh...ishakuwa personal?
Ila ushauri wa bure,USIRUDIE kunitusi dogo!..usije sema sikukuonya!
Kuna demu nilimkopesha 2m toka mwezimwa tisa mwaka jana yaani ananizungusha sijawahi kuona...
Duu mimi kuna mmoja kaomba nimkopeshe mama yake anashida atanirudishia jnne! Unanitisha mkuu
We f@l@ hunitishi kwa lolote, katatue mgogoro wa wazee wako huko kwenu... ukiweza njoo kwangu