Watu wa Mbeya uwa wanahisi Mbeya iko level moja na dar ndio shida yao.
Kwa sisi ambao tunaijua Mbeya na dar Kwa ukaribu.
Dar ushwahilini huwez kuta nyumba ya tope ila Mbeya no sheria, wanasema udongo unasapoti.
Nimekaa dar nimekaa Mbeya, kama dar kila mtaa kunanuka basi Mbeya itakuwa Mara 10 yake.
Ukipita ilemi Darajani pale msimu wa kiangaz maji yakiwa machache unapata picha na ile harufu ya maji wa ule mto, ile harufu ya kufungulia kinyes huwez ikuta DSM sheikh
Nimekaa Mbeya miaka 3 Mara ya kwanza nafika mwenyeji mwangu akanifikishia ilemi nikasema duh huku tena siwez ishi kabisa.
Miaka 3 ikaisha nimepanga ilemi na sikuwa na mpango wa kuhama, nilikuwa narud mida mibovu pqmoja na sifa za ukabaji ila sijawah hata kutishiwa kukaba.
Veta,ituha, isyesye na...
Mimi naomba unielekeze novena ya mt ritha kama ikikupendeza.
Nataka niachane na roho ya kamari imeshanipa umaskini na madeni, bado haitak kuniachia nahisi inataka na kuchukua maisha yangu.
Duniani hukuja na kitu n hutoondoka na kitu mbona unjipa umuhimu hvyo.
Ila muhimu kaza mm na umri wqngu wa 35, sina nachojivunia kweny material things zaid ya mashine tu
Unapiga mitungi?
Mimi nilishaacha piga mzigo nikiwa mzima, nikipiga tako kadhaa wazungu hao.
Nikiwa nashow lazima Nile masanga yakutosha hapo nikiingia kwenye show no mwendo wa mauno ya paka tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.