Recent content by prof.mwaleef

  1. P

    JamiiForums Tanzania Proved: TBC1 haitarusha bunge live

    Yasadikika kuwa masikio yako yanachagua vya kusikia! kama hukuchelewa kuangalia habari hiyo. Hayo yalitamkwa na Rais mwenyewe, kisha Nchimbi akaendeleza kukazia! Duh! UNAZI NOMA jamani! unakataa live! Mtanzania kweli wewe?
  2. P

    JamiiForums Tanzania Voda Mnaleta kinyaa kwa wateja wenu!!

    Unaleta ufasist! kama mdau wao sema! si kukataa! mimi mwenyewe nimeamua kuacha kutumia hiyo voda, ni wezi kweli! unaunga cheka, unaambiwa huna salio la kutosha! wezi! wezi! wezi! tena mno! mara nyingi sana!
  3. P

    JamiiForums Tanzania Nchi hii tuendako idadi ya mikoa itakuwa sawa na makabila.

    hawa watu ni waajabu sana ndugu yangu! Wanagawa wilaya, kata na vijiji kusogeza huduma! Nenda kawaambie sasa tunataka huduma zije! Wanasema bajeti ya serikali haitoshi, tanzania masikini! Sasa wanapogawa hayo maeneo ya utawala kwa hoja ya kusogeza huduma, hawajui kuwa hakuna pesa za kutoa huduma...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Nchi hii tuendako idadi ya mikoa itakuwa sawa na makabila.

    Yaani! kama hoja ni kusogeza hoduma kwa nini hizo pesa za kukuandalia wilaya, kata, na vijiji wasitumie pesa hizo kujenga huduma katika maeneo hayo.?
  5. P

    JamiiForums Tanzania Mwanamke mchawi adondoka kanisani akiwa uchi wa mnyama jijini dar

    Hawa ndio wale aliowasema Yesu siku zijazo watakuja manabii wa uwongo wakitumia jina lake Yesu! Haya pelekeni Sadaka kwa Flora!
  6. P

    JamiiForums Tanzania Mangula amekumbana na kisiki Mbeya!!!!!!!

    makundi ndani CCM ni kanuni yao! Kwani bila makundi hawawezi kupata wanotaka waendeleze ufalme wa kiCCM! Hapo sasa tunachokifahamu ni yaleyale aliyetoa pesa nyingi za kutetea chama na si wananchi! Kwani mkimchagua ninyi wanambeya mjue lazima aanze kuchanga zake kwanza alizotoa Rushwa! Waulize wa...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Tapeli anayesimulia mambo ya Fre Mason

    Huyu Jamaa ni Tapeli haswaa! Nina miaka zaidi ya mitatu nakutananaye mara kwa mara baraba ya Mandela ubungo kuelekea chuo kikuu UDSM mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu hapa chuo-UDSM, hivyo namjua sana tu huyu jamaa ni Tapeli wa ukweli tu! Hupendelea sana maeneo ya mkusanyiko wa watu wengi...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Uhuru Kenyatta aisiriba serikali ya Tanzania

    Ni ukweli siupingika! ila nafahamuvyo Watawala wa TZ watasema wanadharalishwa! wakati ndivyo ukweli ulivyo! watupe data za Bajeti yao ili tumkanushe huyo Kenyatta!
  9. P

    JamiiForums Tanzania GE2015 Kiama cha wabunge waliozoea kubebwa na bendera ya CCM

    Wataisoma Plate number ya CDM na M4C 2015, kama wanabisha wasubiri mwezi ujao kwa maana sasa umebaki mwezi tu kufikia huko! 'abda wakishinda kesi za Kuwakataa walimu kuwa wasimamizi wa uchaguzi, pia kesi feki za Kigaidi, na hata Udini wao wa CCM , pengine wanaweza kufika hata kwa Toroli.
  10. P

    JamiiForums Tanzania politics and our national destiny:

    hakika kwa jins mambo yanavyopelekwa na hao walochoka kila sector hatwez kufika tunakotaka kufika.......tunahitaji kubadilika.......
Back
Top Bottom