Tapeli anayesimulia mambo ya Fre Mason

Tapeli anayesimulia mambo ya Fre Mason

mzamifu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2010
Posts
6,410
Reaction score
3,881
Yupo jamaa mmoja anapitapita hapa jijini Dar akisimulia masuala ya Free Mason. yeye alijitambulisha kama Mlokole kutoka Kenya. Jana alikuwa kariakoo. Nilijaribu kumslikiza kidogo. kwa vile huwa nasikia watu wengi wakisema haya mambo nikaamua kununua Cd ili nipate undani wa haya mambo. kufika nyumbani na kuzifungua zile Cd nikagundua hazina kitu yaani alikuwa akiuza cd tupu. yapuuzeni haya matapeli frm.jpg
 
Yupo jamaa mmoja anapitapita hapa jijini Dar akisimulia masuala ya Free Mason. yeye alijitambulisha kama Mlokole kutoka Kenya. Jana alikuwa kariakoo. Nilijaribu kumslikiza kidogo. kwa vile huwa nasikia watu wengi wakisema haya mambo nikaamua kununua Cd ili nipate undani wa haya mambo. kufika nyumbani na kuzifungua zile Cd nikagundua hazina kitu yaani alikuwa akiuza cd tupu. yapuuzeni haya matapeli View attachment 95192

Siyo yule dogo Mrefu mwembamba?.....!
Anajinadi kuwa alikuwa freemason sjui wakamchukua wakampeleka wapi...urongo mtupu, hata hao freemason wenyewe hawajui ni msanii tu. Ukitaka kujifunza mambo ya freemasonry mtafute Mzee Chande!
 
Vp yule Suleiman Mazinge toka Kenya huwa anaongea ukweli?
 
Kiingiacho mjini si haramu na pia katika dunia hii, wajinga ndio waliwao.
 
Yupo jamaa mmoja anapitapita hapa jijini Dar akisimulia masuala ya Free Mason. yeye alijitambulisha kama Mlokole kutoka Kenya. Jana alikuwa kariakoo. Nilijaribu kumslikiza kidogo. kwa vile huwa nasikia watu wengi wakisema haya mambo nikaamua kununua Cd ili nipate undani wa haya mambo. kufika nyumbani na kuzifungua zile Cd nikagundua hazina kitu yaani alikuwa akiuza cd tupu. yapuuzeni haya matapeli View attachment 95192
KAMA UNATAKA KUJIUNGA ANGALIA HII LINK:Freemason Network Home - Freemason Network
 
Siyo yule dogo Mrefu mwembamba?.....!
Anajinadi kuwa alikuwa freemason sjui wakamchukua wakampeleka wapi...urongo mtupu, hata hao freemason wenyewe hawajui ni msanii tu. Ukitaka kujifunza mambo ya freemasonry mtafute Mzee Chande!

Huyu Jamaa ni Tapeli haswaa! Nina miaka zaidi ya mitatu nakutananaye mara kwa mara baraba ya Mandela ubungo kuelekea chuo kikuu UDSM mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu hapa chuo-UDSM, hivyo namjua sana tu huyu jamaa ni Tapeli wa ukweli tu! Hupendelea sana maeneo ya mkusanyiko wa watu wengi! Mfano; LandMark-riverside, Ubungo stand ndogo, Darajani-Tanesco power Plant, Blue Pearl hotel, kituo cha Darajani kuelekea Mwenge na chuo! Mfuatilie utamkuta sana yupo.
 
ha haaa huwa namuona mara kibao,na roho yangu ilisita kununua hyo cd aisee
 
Yupo jamaa mmoja anapitapita hapa jijini Dar akisimulia masuala ya Free Mason. yeye alijitambulisha kama Mlokole kutoka Kenya. Jana alikuwa kariakoo. Nilijaribu kumslikiza kidogo. kwa vile huwa nasikia watu wengi wakisema haya mambo nikaamua kununua Cd ili nipate undani wa haya mambo. kufika nyumbani na kuzifungua zile Cd nikagundua hazina kitu yaani alikuwa akiuza cd tupu. yapuuzeni haya matapeli View attachment 95192
Kwenye wajanja wengi wa mjini lazima pia kutakua na wajinga!
 
Mambo ya Mujini. Unaweza kuuziwa kiwanja selander bridge
 
kumbe huyu jamaa ni tapeli nishawahi kumuona pande za mwenge ana ushawishi wa hali ya juu next time sitopoteza muda kumsikiliza
 
Kwani mkuu hukujiuliza kwa nini asiuze hizo CD huko kwao Kenya? Kwa sababu kila taifa linajua ukitaka faida ya haraka nenda kwa watu wa Tanzania utafanikiwa wao ni rahisi kudanganyika ni sawa na kushuka kwenye mlima kwa baiskeli hakuna kunyonga pedal....
 
Yupo jamaa mmoja anapitapita hapa jijini Dar akisimulia masuala ya Free Mason. yeye alijitambulisha kama Mlokole kutoka Kenya. Jana alikuwa kariakoo. Nilijaribu kumslikiza kidogo. kwa vile huwa nasikia watu wengi wakisema haya mambo nikaamua kununua Cd ili nipate undani wa haya mambo. kufika nyumbani na kuzifungua zile Cd nikagundua hazina kitu yaani alikuwa akiuza cd tupu. yapuuzeni haya matapeli View attachment 95192


Kwani mkuu hukujiuliza kwa nini asiuze hizo CD huko kwao Kenya? Kwa sababu kila taifa linajua ukitaka faida ya haraka nenda kwa watu wa Tanzania utafanikiwa wao ni rahisi kudanganyika ni sawa na kushuka kwenye mlima kwa baiskeli hakuna kunyonga pedal....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom