KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 876
Mgogoro Mkubwa umeibuka CCM mkoa wa Mbeya baada ya kumupitisha Mgombea (Burushi) katika uchaguzi wa Kata ya Iyela Mbeya.
Leo kundi pinzani ndani ya CCM liligoma kwenda kwenye kampeni kwa madai kuwa mgombea amepita kwa Rushwa!!!
Pia wapo wana CCM ambao wameanza kumubeza Mangula kwa Kitendo Chake cha kushindwa Kuwachukulia hatua Wana CCM waliopita kwa Rushwa wakati wa Uchaguzi wa ndani ambapo yeye Mangula aliahidi kufanya hivyo ndani ya miezi sita.
Wana CCM hao wanasema Mangula Mwenyewe anatuhumiwa na Yono kuwa alimulinda Lwenge ambaye alitoa Rushwa na kujipatia madaraka!!
Leo WanaCCM pinzani walijaa kwenye Mikutano ya Chadema na kubeza ile ya CCM!!!
Leo kundi pinzani ndani ya CCM liligoma kwenda kwenye kampeni kwa madai kuwa mgombea amepita kwa Rushwa!!!
Pia wapo wana CCM ambao wameanza kumubeza Mangula kwa Kitendo Chake cha kushindwa Kuwachukulia hatua Wana CCM waliopita kwa Rushwa wakati wa Uchaguzi wa ndani ambapo yeye Mangula aliahidi kufanya hivyo ndani ya miezi sita.
Wana CCM hao wanasema Mangula Mwenyewe anatuhumiwa na Yono kuwa alimulinda Lwenge ambaye alitoa Rushwa na kujipatia madaraka!!
Leo WanaCCM pinzani walijaa kwenye Mikutano ya Chadema na kubeza ile ya CCM!!!