Recent content by procura

  1. P

    Maoni ya ACT wazalendo miswada ya sheria za madini

    Maoni ya Chama cha ACT Wazalendo Kuhusu Mabadiliko ya Sheria Zinazohusu Rasilimali za Taifa: 1. Mabadiliko ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010. 2. Sheria ya Uhuru wa Milele wa Utajiri wa Taifa ya mwaka 2017. 3. Sheria ya Mapitio ya Mikataba ya Utajiri wa Taifa ya mwaka 2017. Utangulizi: Kwa...
  2. P

    Kwa aina hizi mbili za Urais, hebu mpeni huyu mzee nafasi

    Kwa hiyo kwa sasa wasionacho ndo wanamaisha nafuu?
  3. P

    Rushwa ishakuwa tamaduni ya watanzania. Maono ya JPM na nia si dawa

    Rushwa inaweza kuwa katika makundi makuu mawili. Aina ya kwanza ni ile inayomuhusisha mtu mmoja mmoja hususan pale anapotumia madaraka yake na ofisi ya uma kwa manufaa yake binafsi. Katika mfumo huu, watu katika jamii huwa hawahusishi maisha ya mtu binafsi na ya utumishi wake katika ofisi za...
  4. P

    Rais Kagame Kamteua Mtanzania kuwa waziri

    RAIS Paul Kagame wa Rwanda amemteua Mtanzania, Profesa Silas Rwakabamba kuwa Waziri wa Miundombinu wa nchi hiyo katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanyika Jumatatu iliyopita. Profesa Silas Rwakabamba. Kabla ya uteuzi huo, Profesa Rwakabamba alikuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha...
  5. P

    Utashi wa kisiasa na maendelea ya kisayansi katika nyanja za tafiti

    Tafiti ndo njia pekee ambayo mataifa yaliyoendelea huamin katika kutambua matatizo na suluhusho ya hayo matatizo. Ni kwa msingi huo, haya mataifa yamekuwa yakiwekeza zaidi katika tafiti kwa kutumia vyuo vyao vikuu. Makampuni mengi ya kimataifa nayo yamekuwa yakifadhili tafiti hizo kwa sababu...
  6. P

    Sakata la kung'olewa Naibu Spika: Kinana akutana na wabunge wa CCM Dodoma kuokoa jahazi

    Mbowe anataka wabunge wake wafanye kadri atakavyo the same to CCM. Kwa hiyo wanasiasa wa Tanzania na vyama vya Tanzania hakuna tofauti na haitokuja tokea. Kwa sabab na sisi tunaojiita wafuasi wa vyama hivi ni dhaifu huwa tunafata kile watakacho wao. Siipendi historia ile ya kuwa wakati wa...
  7. P

    Ziara za kushtukiza sio dhambi: Mrejesho kwa Ulimwengu

    Ahsante sana.....chapisho kama hizi ndo zitakuja ipa jamii forum sifa yake ya zaman. Hope tutajadili hapa kwa mustakabali wa taifa letu na sio kwa mihemko. Pia tutapata nafasi ya kuwachambua waandishi wetu hususan wa makala na habari za kiuchunguzi.
  8. P

    Televisheni ya Star TV yatuhumiwa kuchochea vurugu kwa kumkashifu Edward Lowassa

    kwan kuna chochote cha uongo wanachokionyesha? au ni kwa sabab hatupendi kuona na kusikia ukweli mwingine tofauti na ule tuujuao?
  9. P

    Warioba, Yusuf Makamba na Mkapa mnazidi kumharibia Magufuli na CCM

    sasa umeongea nn mbona sikuelewi?
  10. P

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Dah...siasa za mwaka huu ni zungu mkuti...let's see the re- birth of new Tanzania...
  11. P

    kwanini ccm wanaweka viti kwenye mikutano yake ?

    walemavu wanaweza kusimama kwani? umeshindwa hata kutumia akili kwa jambo dogo kama hilo?
  12. P

    Viongozi wa dini kemeeni kauli hizi

    unawaomba viongozi wa dini wakati wenyewe ndo wapo nyuma ya kila mpango ovu......umeambiwa sumaye ameombwa na maaskofu wa KKKT sabab raisi wanataka atoke KKKT? ts Roma against KKKT. Wapumbavu na malofa pekee ndo hawajui chochote
  13. P

    GE2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

    kweli nyinyi ni malofa na wapumbavu hamuelewi hata mueleweshe vipi. Sumaye hajasema anakuja komboa amekuja kuwasaidia kuongoza sababu hamjui.....wapumbavu ni nyinyi
  14. P

    Mbowe kubadili gia Angani kwaiponza UKAWA, Magufuli ni Rais anayesubiri kuapishwa

    mungu siku zote huonyesha nia ovu zilizopo kwenye mioyo ya watu.....Lowasa ni shetan anayejaribu kuishi kma malaika huku akitaka watu wamuone kma mungu. Kakutana na ibilisi mbowe sasa wafuasi wajiandae kujenga safina maana mungu atawaletea gharika kubwa
Back
Top Bottom