walemavu wanaweza kusimama kwani? umeshindwa hata kutumia akili kwa jambo dogo kama hilo?
walemavu wanaweza kusimama kwani? umeshindwa hata kutumia akili kwa jambo dogo kama hilo?
Vipi watafsiri alama za sauti pia wapo?Ccm ni chama makini,kilichojaa ustaarabu sambamba na kujali makundi yote likiwemo Walemavu kwa kuzingatia haki zao na usawa.Inataka watu wa mbele wakae chini kuwe na utulivu ili wasikilize sera vizuri.Siyo kujazana mbele kushangilia hovyo hovyo.
Vipi watafsiri alama za sauti pia wapo?
Vilema wanapandaje malori?
Weka picha ya lori limepakia baiskeli ya walemavu mkutanoni.
walemavu wanaweza kusimama kwani? umeshindwa hata kutumia akili kwa jambo dogo kama hilo?
Ustaarabu ndio umejaa CCM.wakuu niliona jagwani na leo nimeona arusha .kabla ya hapo sikuwahi kuona mkutano wa siasa ukiwekwa viti.vya kukaa ?
alafu huku kitaa wanasema kampeni zinaanza rasim 29/8/2015 .
Viti vinachukua nafasi. Eneo la kiti kimoja ni sehemu ya kusimama watu wanne. We ukiona mkutano wa CCM una Viti basi ukitaka kujua idadi halisi ya wahudhuriaji we chukua eneo lote lenye watu gawanya kwa nne.wakuu niliona jagwani na leo nimeona arusha .kabla ya hapo sikuwahi kuona mkutano wa siasa ukiwekwa viti.vya kukaa ?
alafu huku kitaa wanasema kampeni zinaanza rasim 29/8/2015 .
wakuu niliona jagwani na leo nimeona arusha .kabla ya hapo sikuwahi kuona mkutano wa siasa ukiwekwa viti.vya kukaa ?
alafu huku kitaa wanasema kampeni zinaanza rasim 29/8/2015 .