Hapana nimeuliza kwawema kabisa nasijaja kukejeli MTU hapa ila ukweli lile amsha amsha la mwanzo limekufa
Tena kifo cha mende kabisa ndio maana walionilewa wanajieleza kwamba wako bize !!! Yaani Forex imewafanya wawe bize means walikuwa hawana kazi yakufanya sasa unapokuja
Na maswala ya ID...
Katika nyuzi nyingi zilizopita za Forex nilikuwa msomaji mzr sana ila ulikuwa ukionekana unaongelea negative kuhusu hii Forex aisee ungetamani aridhi ipasuke kwa vichambo namaneno ya kejeli ila now mumeijua vizr Forex
Sizisikiii tena zile kelelee nazani Forex kashafanya yake
Kunajamaa...
Ndugu ninaongea kitu ambacho kipo pita kwenye nyuzi za Ontario kama bado kumechangamka !!!
Kumepoooza saana hadi kunatia shaka yaani toka tu aanze kufundisha watu wakakata kabisa !!ndio maana hapo kunamaswali tena mengi yakujiuliza!!! Vpi kulikoniii mbona huu ukatishaji wa mada za Forex umezima...
Napenda kuleta Uzi huu mahususi kabisa kwa wale jamaa zangu wa FOREX !!! Nimeona niseme kitu coz hapo mwanzo kipindi ndugu na jamaa yetu bwana Antario alipoanzisha uzi wa Forex !!!
Naweza kusema nyuzi zake zilipata waafuasi wengi sana hata Mimi nikiwemo !!!
Ninachojiuliza kwa sasa je? Forex...
Ndugu natafta broker wa bonus ila aswe namavigezo mengi anakuruhusu kuwthidraw faida bila ya kudipost !!! Asiwe kati ya hawa XC ; Tick mill na instaforex
Njaa mbaya ndugu Anza wewe kwanza ukimaliza nasisi tutakifata!!! Spost ya kijinga sana huna kazi zakufanya unafikilia huo ujinga !!!
Unafamilia wewe kweli ? Yawezeka bado unakula ugali wa mama wewe !!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.