Recent content by Private don

  1. P

    Siioni amshamsha ya Forex, vipi watu wameshapigwa?

    Hapana nimeuliza kwawema kabisa nasijaja kukejeli MTU hapa ila ukweli lile amsha amsha la mwanzo limekufa Tena kifo cha mende kabisa ndio maana walionilewa wanajieleza kwamba wako bize !!! Yaani Forex imewafanya wawe bize means walikuwa hawana kazi yakufanya sasa unapokuja Na maswala ya ID...
  2. P

    Siioni amshamsha ya Forex, vipi watu wameshapigwa?

    Katika nyuzi nyingi zilizopita za Forex nilikuwa msomaji mzr sana ila ulikuwa ukionekana unaongelea negative kuhusu hii Forex aisee ungetamani aridhi ipasuke kwa vichambo namaneno ya kejeli ila now mumeijua vizr Forex Sizisikiii tena zile kelelee nazani Forex kashafanya yake Kunajamaa...
  3. P

    Siioni amshamsha ya Forex, vipi watu wameshapigwa?

    Hakuna sehemu nimemwombea na kufurahia MTU kushindwaa!!! Pitia kwenye post yangu upya nazani utaelewa nachokieleza!!!!
  4. P

    Siioni amshamsha ya Forex, vipi watu wameshapigwa?

    Ndugu ninaongea kitu ambacho kipo pita kwenye nyuzi za Ontario kama bado kumechangamka !!! Kumepoooza saana hadi kunatia shaka yaani toka tu aanze kufundisha watu wakakata kabisa !!ndio maana hapo kunamaswali tena mengi yakujiuliza!!! Vpi kulikoniii mbona huu ukatishaji wa mada za Forex umezima...
  5. P

    Siioni amshamsha ya Forex, vipi watu wameshapigwa?

    Napenda kuleta Uzi huu mahususi kabisa kwa wale jamaa zangu wa FOREX !!! Nimeona niseme kitu coz hapo mwanzo kipindi ndugu na jamaa yetu bwana Antario alipoanzisha uzi wa Forex !!! Naweza kusema nyuzi zake zilipata waafuasi wengi sana hata Mimi nikiwemo !!! Ninachojiuliza kwa sasa je? Forex...
  6. P

    Locations zenye idadi kubwa ya watu Dar

    Njoo Tandika hii ndio kariakoo ndogo kwa Dar
  7. P

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Ndugu natafta broker wa bonus ila aswe namavigezo mengi anakuruhusu kuwthidraw faida bila ya kudipost !!! Asiwe kati ya hawa XC ; Tick mill na instaforex
  8. P

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Unatumia broker yupi ? Maana nawaonaga akina Andile wanatumia platform kama yako
  9. P

    Imetosha kulalamika ni muda wa kuchukua hatua sasa

    Njaa mbaya ndugu Anza wewe kwanza ukimaliza nasisi tutakifata!!! Spost ya kijinga sana huna kazi zakufanya unafikilia huo ujinga !!! Unafamilia wewe kweli ? Yawezeka bado unakula ugali wa mama wewe !!!
Back
Top Bottom