Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,069
- 8,327
Wivu wa kijinga, mudda sukka
Ndugu ninaongea kitu ambacho kipo pita kwenye nyuzi za Ontario kama bado kumechangamka !!!Endelea kusubiri hiyo amsha amsha ambayo na uhakika hutaiona. Jinsi hii business inavyotakiwa usome na kutumia akili, huo mda wa kukupostia wewe uamini nautoa wapi??
Halafu hamna aliesema kwenye forex kuna utajiri wa haraka so keep waiting bra.
hpa ndio kila kitu... aisweeeee.......aliyefaidika sana na Forex trade ni Ontario tu na timu yake.. na faida kaipata kwenye training fees na commission ya broker wa forex.. hii ya commission ameipata indirect kwa akili nyingi sana hakuna mwanafunzi wake hata mmoja anaeweza kujua
Ni umaskini sana kuombea mwenzio ashindwe ilo umchekeHakuna kitu kibaya kwenye maisha kama kusubiri anguko la fulani ambaye hana impact yoyote ile kwenye maisha yako. Sio dalili nzuri kabisa.
Hakuna sehemu nimemwombea na kufurahia MTU kushindwaa!!! Pitia kwenye post yangu upya nazani utaelewa nachokieleza!!!!Ni umaskini sana kuombea mwenzio ashindwe ilo umcheke
unataka kila siku hiwe kozi ndugu.umeshapewa fursa au liwe tangazo asubuhi,mchana na usikuNapenda kuleta Uzi huu mahususi kabisa kwa wale jamaa zangu wa FOREX !!! Nimeona niseme kitu coz hapo mwanzo kipindi ndugu na jamaa yetu bwana Antario alipoanzisha uzi wa Forex !!!
Naweza kusema nyuzi zake zilipata waafuasi wengi sana hata Mimi nikiwemo !!!
Ninachojiuliza kwa sasa je? Forex hii mbona imepoteza mvuto na lile amsha amsha kama la mwanzo mbona limekufa? Au tayari watu wameshalizwa? Au wanatengeneza mapesa kimyakimya?
Hapana !!! Hapa kunakitu haiwezekana Jf ipoe kiasi hiki kuhusu hii Forex !!!
Maana hakuna mlejesho wowote wa MTU ambaye tayali amesha nunua hata passo kwa kutumia pesa ya Forex !!!!
Povu linaluhusiwa !!!!!
Jamaa kajilia pesa yake kiulainiii....mazuzu yanapambana na hali zaoONTARIO keshafanya yake.
Jamaa kajilia pesa yake kiulainiii....mazuzu yanapambana na hali zao
siti neno naogopa kutukanwaJamaa kajilia pesa yake kiulainiii....mazuzu yanapambana na hali zao