Recent content by private agent

  1. private agent

    Kama ni kweli, watu hawa wametumia vigezo gani kuwateua wagombe wa tuzo hii?

    Turudi nyuma pia... Moh na Dangote walishindanishwa na watu wa aina gani.... Kulikuwa na marais pia?? Wajuz na wafuatiliaji wa hizi tuzo waje watupe majibu...
  2. private agent

    Forbes yachafua hali ya hewa Lumumba!

    Ha ha haaaa ila JF..... Tuombe Mungu ule muswada usipite iendelee kudumu....
  3. private agent

    TCRA na wizara husika tazameni wananchi wa kawaida

    Alafu sasa huwa wanatoa matamko kuwazuia wasifanye hivyo. Cha kushangaza haipitagi ata mwez utaona gharama zimepanda na watoa tamko wako kimya.
  4. private agent

    TCRA na wizara husika tazameni wananchi wa kawaida

    Au ndo ku[emoji40] ile freedo**m
  5. private agent

    TCRA na wizara husika tazameni wananchi wa kawaida

    Yaani mkuu lengo lilivyokuwa na sasa ni tofauti kabisa.
  6. private agent

    TCRA na wizara husika tazameni wananchi wa kawaida

    Hizi namba zinakuwa kubwa mnooo kwa cc baba kabwela.
  7. private agent

    TCRA na wizara husika tazameni wananchi wa kawaida

    Wakati tunatoka katika mfumo wa analogy kuingia digital ilitolewa kauli kuwa local channel hazitakuwa zikilipiwa kwa maana hata kama hujalipia king'amuzi basi zitaendelea kuonekana tu bure. Lakini imekuwa kinyume na sasa hawa waliopewa hiyo dhamana wameamua kufanya wanavyopenda na kuamua kutoza...
  8. private agent

    Amebarikiwa yule aliye na mwanaume wa aina hii kwenye mahusiano

    Vp baba yako asipoyafanya kwa mama yako. Utajickiaje??
  9. private agent

    Lionel Messi arejea timu ya taifa Argentina

    Huyu jamaa zimwi la Ronaldo linamsumbua sana.
  10. private agent

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Huyu jamaa kila atakachokickia ye anaandika tu ata kama kaambiwa na mdogo wake.
  11. private agent

    Watu aina ya Tundu Lissu ni Matokeo ya Huruma ya Kikwete

    Ila mheshimiwa aliwabeba sana, aliwafanya kama wanae. Ila kwa sasa wataisoma namba.
  12. private agent

    Bado mambo yako vilevile, rais fanya mabadiliko huko wizarani

    Wateuliwa wengi hawana ubunifu wanasubiri mpaka rais aseme wao ndo watekeleze. Wana Kali yao kwamba wanatekeleza maagizo ya rais. Sasa kwa hali hii tusubiri mh. afike hayo maeneo atoe maagizo labda ndo kutakaa sawa.
  13. private agent

    Shukurani kwa JamiiForums na wanaJF kwa ujumla!

    Mkuu ukiendelea hivyo na kusimamia malengo yako, amini cku moja utakuwa general supplier. Kuna jamaa alianza na kigenge lakini saiv anashusha lori la viazi mbatata kutoka Mbeya.
  14. private agent

    Shukurani kwa JamiiForums na wanaJF kwa ujumla!

    Upotoshaji hakuna mkuu, huwa ni changamoto tu zakuwezesha kufikiria zaidi.
Back
Top Bottom