Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,933
- 4,704
Huyo ndio Mzee Tupa Tupa bwana,we baki ghilibu zako Tupa Tupa atabaki hvyo hvyo labda kama unalo japya tujuze Ila punguza ghilibu humu panatakiwa hoja sio kashfa na matusiWewe mzee Tupa Tupa ongea na wanafiki wenzio bavicha



acha kuhaibisha vijana wakoSuala la Forbes limewatofautisha viongozi waandamizi wa CCM na kupelekea mkutano na waandishi wa habari kuahirishwa. Mkutano huo na waandishi wa habari ulilenga kutoa uchambuzi wa kiindi cha waka mmoja wa Serikali ya Awamu ya tano iliyo chini ya Rais Dr. John P. Magufuli. Ilipangwa kusifu kila idara na kuwaomba wananchi wamuunge mkono Rais Magufuli.
Nyaraka za mkutano huo na waandishi wa habari zinaonesha kuwa CCM imeuchambua mwaka huo na kwa ujumla, kumemiminwa sifa za kutosha na kutisha. Pia, CCM ilipanga kugusia mwenendo wa chama kwa ujumla kwa kudurusu kesi mbalimbali za uchaguzi zilizopo mahakamani kwa sasa na hata Uchaguzi wa Meya wa Kinondoni na Ubungo.
CCM pia ililenga kuzungumzia 'kuongoza' kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dr. Magufuli kwenye shindano la 'Mtu Mahiri Afrika wa mwaka 2016' linalosemekana kuendeshwa na Forbes. Suala hilo limewagawa viongozi waandamizi chamani hapa Ofisi Ndogo za Lumumba na kupelekea kuchafuka kwa hali ya hewa kwa muda. Suluhisho lilikuwa ni kuahirisha Mkutano na waandishi wa habari.
Eti mambo ya mitandao inaahirisha Press Conference! PC ni kesho saa tano asubuhi hapa hapa Lumumba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam!
Soon kibarua chako UDSM kitaota nyasi......Suala la Forbes limewatofautisha viongozi waandamizi wa CCM na kupelekea mkutano na waandishi wa habari kuahirishwa. Mkutano huo na waandishi wa habari ulilenga kutoa uchambuzi wa kiindi cha waka mmoja wa Serikali ya Awamu ya tano iliyo chini ya Rais Dr. John P. Magufuli. Ilipangwa kusifu kila idara na kuwaomba wananchi wamuunge mkono Rais Magufuli.
Nyaraka za mkutano huo na waandishi wa habari zinaonesha kuwa CCM imeuchambua mwaka huo na kwa ujumla, kumemiminwa sifa za kutosha na kutisha. Pia, CCM ilipanga kugusia mwenendo wa chama kwa ujumla kwa kudurusu kesi mbalimbali za uchaguzi zilizopo mahakamani kwa sasa na hata Uchaguzi wa Meya wa Kinondoni na Ubungo.
CCM pia ililenga kuzungumzia 'kuongoza' kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dr. Magufuli kwenye shindano la 'Mtu Mahiri Afrika wa mwaka 2016' linalosemekana kuendeshwa na Forbes. Suala hilo limewagawa viongozi waandamizi chamani hapa Ofisi Ndogo za Lumumba na kupelekea kuchafuka kwa hali ya hewa kwa muda. Suluhisho lilikuwa ni kuahirisha Mkutano na waandishi wa habari.
Eti mambo ya mitandao inaahirisha Press Conference! PC ni kesho saa tano asubuhi hapa hapa Lumumba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam!
Suala la Forbes limewatofautisha viongozi waandamizi wa CCM na kupelekea mkutano na waandishi wa habari kuahirishwa. Mkutano huo na waandishi wa habari ulilenga kutoa uchambuzi wa kiindi cha waka mmoja wa Serikali ya Awamu ya tano iliyo chini ya Rais Dr. John P. Magufuli. Ilipangwa kusifu kila idara na kuwaomba wananchi wamuunge mkono Rais Magufuli.
Nyaraka za mkutano huo na waandishi wa habari zinaonesha kuwa CCM imeuchambua mwaka huo na kwa ujumla, kumemiminwa sifa za kutosha na kutisha. Pia, CCM ilipanga kugusia mwenendo wa chama kwa ujumla kwa kudurusu kesi mbalimbali za uchaguzi zilizopo mahakamani kwa sasa na hata Uchaguzi wa Meya wa Kinondoni na Ubungo.
CCM pia ililenga kuzungumzia 'kuongoza' kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dr. Magufuli kwenye shindano la 'Mtu Mahiri Afrika wa mwaka 2016' linalosemekana kuendeshwa na Forbes. Suala hilo limewagawa viongozi waandamizi chamani hapa Ofisi Ndogo za Lumumba na kupelekea kuchafuka kwa hali ya hewa kwa muda. Suluhisho lilikuwa ni kuahirisha Mkutano na waandishi wa habari.
Eti mambo ya mitandao inaahirisha Press Conference! PC ni kesho saa tano asubuhi hapa hapa Lumumba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam!
Kwani 'The People of Rwanda' siyo mashuhuri mkuu?Mtu mashuhuri Rais wa nchi anashindanishwa na watu wasio na nyadhifa wala majina makubwa.Ilikuwa njia ya kutuondoa kwenye mjadala mkubwa wa Mheshimiwa anaetumia majina ya wizi.
Ni aibu sana kwa chama kilichokongoroka kama hiki kutunga uongo wa kudhalilisha kwa kiwango kile .Suala la Forbes limewatofautisha viongozi waandamizi wa CCM na kupelekea mkutano na waandishi wa habari kuahirishwa. Mkutano huo na waandishi wa habari ulilenga kutoa uchambuzi wa kiindi cha waka mmoja wa Serikali ya Awamu ya tano iliyo chini ya Rais Dr. John P. Magufuli. Ilipangwa kusifu kila idara na kuwaomba wananchi wamuunge mkono Rais Magufuli.
Nyaraka za mkutano huo na waandishi wa habari zinaonesha kuwa CCM imeuchambua mwaka huo na kwa ujumla, kumemiminwa sifa za kutosha na kutisha. Pia, CCM ilipanga kugusia mwenendo wa chama kwa ujumla kwa kudurusu kesi mbalimbali za uchaguzi zilizopo mahakamani kwa sasa na hata Uchaguzi wa Meya wa Kinondoni na Ubungo.
CCM pia ililenga kuzungumzia 'kuongoza' kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dr. Magufuli kwenye shindano la 'Mtu Mahiri Afrika wa mwaka 2016' linalosemekana kuendeshwa na Forbes. Suala hilo limewagawa viongozi waandamizi chamani hapa Ofisi Ndogo za Lumumba na kupelekea kuchafuka kwa hali ya hewa kwa muda. Suluhisho lilikuwa ni kuahirisha Mkutano na waandishi wa habari.
Eti mambo ya mitandao inaahirisha Press Conference! PC ni kesho saa tano asubuhi hapa hapa Lumumba!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam!
Ina maana hapo Ufipa ni kupinga tu na kudharau kila jambo linalofanywa na serikali ya CCM?, hamna hata jambo moja la kuipongeza na kuishauri serikali ya Mh. Magufuli?VUTA-NKUVUTE
ina maana nyie hapo lumumba ni kusifu tu hamna hata kushauri serikali ni wap ielekeze nguvu kama livyokuwa wakati wa mwalimu chama kushauri serikali na sio kila kitu kusifu tu?