Juzi nilikua wizara ya ajira, Jana nilikua wizara ya kilimo na leo nilikua wizara ya viwanda...
Kusema ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu...katika hizo wizara zote kwanza bado kuna urasimu wa hovyo kiasi kwamba masekretari ndo wanajifanya wanajua kila kitu kiufupi wao ndo wasemaji wa wizara usipokuwa mtata unaishia reception lakini pia kila unachouliza wanasema hawajui...mfano unauliza utaratibu wa kuanzisha kiwanda ukoje unajibiwa njoo kesho...
Ushauri wangu...Rais Pombe arekebishe mifumo ya wizara na ateue watu weledi wenye ari ya kujua na kufuatilia mambo mbalimbali..vinginevyo Tanzania maendeleo tutaendelea kuyasoma kwenye mitandao tu.
Kusema ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu...katika hizo wizara zote kwanza bado kuna urasimu wa hovyo kiasi kwamba masekretari ndo wanajifanya wanajua kila kitu kiufupi wao ndo wasemaji wa wizara usipokuwa mtata unaishia reception lakini pia kila unachouliza wanasema hawajui...mfano unauliza utaratibu wa kuanzisha kiwanda ukoje unajibiwa njoo kesho...
Ushauri wangu...Rais Pombe arekebishe mifumo ya wizara na ateue watu weledi wenye ari ya kujua na kufuatilia mambo mbalimbali..vinginevyo Tanzania maendeleo tutaendelea kuyasoma kwenye mitandao tu.