Acha utoto, utapelekaje bungeni wakati kesi iko mahakamani? Utarekebisha sheria kwa manufaa ya baadae na sio kwa hili kosa ambalo lililokwishafanyika. Watz wengi tunajadili mambo kwa mihemko badala ya kuangalia kwanza tumeteleza wapi.
Aseme nini sasa? Amwambie nani? Wizara ya mambo ya ndani ni sensitive sana haitaki mropokaji ni sawa na wizara ya Ulinzi. Watanzania wengi tumekuwa waongeaji sana, tunataka kulazimisha kila mtu awe anaongeaongea tu bila kufuata miiko ya kazi yake. Viva Mwigulu
Waziri wa elimu hana mpango na utafutaji wa mbinu mpya katika elimu yetu. Kwani nani kasema nchi ikiwa ya viwanda haihitaji watu wa arts? Kila baada ya miaka 10 kila kitu huwa kinaanza upya nchi hii, sijui twaenda mbele au tunarudi nyuma haieleweki.
Fanya kazi acha kulalamika. Nyie si ndo wasimamizi wa vituo kwenye uchaguzi? Unalalamika nini? Chapa kazi ila kosa lenu ni usahaulifu tu. 2019 mambo yatabadilika na utasahau kila kitu cha miaka minne. Watanzania tunaishi maisha bora miaka miwili kila baada ya miaka 10, yaani mwaka mmoja kabla ya...
KAMA MHESHIMIWA RAIS MAGUFULI ATAAMUA KWA MAKUSUDI KABISA KUSIKILIZA WAPUUZI WACHACHE BASI ATAKUWA AMEWASALITI WAPIGA KURA WAKE. HATA RAIS MKAPA ALILAUMIWA SANA NWANZONI MWA UTAWALA WAKE LAKINI MWISHOWE WATU WAKASEMA AENDELEE HATA MUHULA WA TATU. KULALAMIKA NDIKO KULIKOTUFIKISHA HAPA. JAMANI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.