Recent content by princeanuu

  1. P

    Mambo sita yanayotushangaza WanaChadema wazalendo

    Duuu elimu nzuri sana hii ila mapenzi yangu na mahaba kwa lowasa tuingoe kwanza ccm wakajifunze adabu
  2. P

    Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa Kisiwani Pemba - Oktoba 03, 2015

    Kiembe samaki gani yenye milima mnafiki mkubwa weee hiyo ni pemba na mimi ndio niliko
  3. P

    Chanel 10 yajichanganya na kurusha ukweli wa mkutano wa Tanga

    Azam Jee au dicoder yako inapata channel ten tu
  4. P

    Yaliyojiri Tanga: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, E. Lowassa - Septemba 28, 2015

    Nampenda mabadiliko napenda ukawa mungu tusaidie tushinde na ccm wakubali.kushindwa kwani sote ni ndugu na rutaendelea na maisha baada ya uchaguzi
  5. P

    ITV imepotosha habari ya usiku juu ya Magufuli

    Tutakutana kwenye kisanduku wache wadanganye tu
  6. P

    Privatusi Karugendo: Si Magufuli wala CCM, ni maslahi mapana ya Taifa letu

    Mwaka huu hatufahamu vizuri ni nani aliyemshawishi kugombea maana tuliona hakuwa hana nguvu kubwa.( Basi ulizia kabla ya kufanya mamuzi)
  7. P

    Citizen tv ya Kenya inaonyesha kampeni za Lowassa tu

    Ndio rais tunaemtarajia
  8. P

    Haya ndo mabadiliko tuliyokuwa tunataka

    Huwo ni wajibu wake sio kwani aliajiriwa kwa kazi gani
  9. P

    Mgombea mwenza kurejea CUF

    Nashangaa watu wanabuni upuuzi tu
Back
Top Bottom