Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ndio hautampa kura Lowassa na UKAWA, ula wenzako wote watampa kura. Subir bado siku 17 ndio utaelewa zaidi. Endelea kujipa matumaini kama mgonjwa anaesubili kufa
- Fiesta kwenye kampeni ni part of the game hahahahaha this is a war, hakuna kupangiana silaha mmeshindwa na mnajua!!
le Mutuz
- Siamini umeamua kunipeleka kwenye njia hiii kweli unataka tuongelee afya zetu na za wagombea? hahahahahah
le Mutuz
kitaalam watu wenye maumbo kama lako huwa na matatizo ya akili, na round hii yule bilionea wako unayemkuwadia mademu ashapigwa chini hata kabla ya uchaguzi sijui utakula wapi, lazima upakatwe mwaka huu!- Fiesta kwenye kampeni ni part of the game hahahahaha this is a war, hakuna kupangiana silaha mmeshindwa na mnajua!!
le Mutuz
Kaka usiharibu uhondo kwa matusi. Mwaga hojakitaalam watu wenye maumbo kama lako huwa na matatizo ya akili, na round hii yule bilionea wako unayemkuwadia mademu ashapigwa chini hata kabla ya uchaguzi sijui utakula wapi, lazima upakatwe mwaka huu!
Kura ni kwa Lowassa2.
Mm ni mwana CCM, kadi ya chama ninayo. Ila kwa mwaka huu naombeni mnisamehe, kura yangu ni kwa Lowassa. Awe mgonjwa, awe mzima, jua liwake, mvua inyeshe ili sitobadili msimamo wangu.
Diwani na Mbunge wao watapata kura yangu wala wasijali, ila huyu msukuma mwenzangu kwa kweli simpi.
Ukitaka nikupe 7bu za kwann simpi naweza kukuorodheshea pia
- Sema wewe na familia yako tu hahahah
le Mutuz
- Sema wewe na familia yako tu hahahah
le Mutuz
kitaalam watu wenye maumbo kama lako huwa na matatizo ya akili, na round hii yule bilionea wako unayemkuwadia mademu ashapigwa chini hata kabla ya uchaguzi sijui utakula wapi, lazima upakatwe mwaka huu!
Ukiona mtu amejipinda kuandika halafu amepata like moja tu..basi jua alichoandika ni sifuri..watu sampuli hii hata walipokuwa shuleni ilikuwa maelezo mengi point sifuri. Hivi Le Mutuz matokeo yako ya Form Six ni kweli ulizunguusha???