princeanuu
Member
- Sep 4, 2015
- 25
- 8
Cyber crime act ipo kweli?
Nashangaa watu wanabuni upuuzi tu
Cyber crime act ipo kweli?
Umeota wapi jombiiiKutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna CHADEMA wanavyoendesha umoja huo.
Aidha kutokana na hali hiyo, taarifa zinadai kuna uwezekano mkubwa muda wowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa CHADEMA Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
Taarifa za uongo uongo hazipaswi kutiliwa maanani.
duuuh ya kweli hayo mkuu
Duh! Asifanye hivyo, si atammalizia mzee wa mafuriko kwa stroke!
Lisemwalo lipo, huyu Juma Duni kweli hasikiki kabisa siku hizi tofauti na Mama Samia.
wanaccm tuungane kupinga tabia ya viongozi wetu kuiga slogan za wapinzani, huku mtaani tunaonekana mamburula kwa kuiga kila kitu!
Hawa jamaa makamnda wako siliace, mbona wanatuchanganya, hapa hakuna mabadiliko.
source pls.
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna CHADEMA wanavyoendesha umoja huo.
Aidha kutokana na hali hiyo, taarifa zinadai kuna uwezekano mkubwa muda wowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa CHADEMA Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
Hayo mambo waliyokubaliana ni yepi??
Wanasema lisemwalo lipo...
Juma Duni akirudi CUF atakuwa kajitambua kwelikweli, chadema ni Saccos ndogo, wamiliki wake ni watu wachache aondoke tu, huko alipo siko.
Chadema ni janga,kila leo migogoro, wao wanajiona ni bora zaidi ya wengine.Juma haonekani kabisa na kila anapopita anazomewa tu.