tuzo hz znapgiwa kura na manahodha wa timu mbalimbali na makocha na sio watu wengne mpaka kufkia mwisho wa kupga kura CR7 alikuwa anaongoza kwa kula lakn kwa kuwa Blater na CR7 hawapatan wameongeza cku hadi tar 6 huo ni ukandamizaji anaejua anajua 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.