Recent content by Prince Love

  1. Prince Love

    Huyu mwnamke mbona simuelewi??

    Tanzania ya viwanda...
  2. Prince Love

    Kanitafutia kazi sasa nimekuwa mtumwa wa ngono

    Unagawa kwa raha zako.... KWani kazi lazima.... Mpaka unamvulia kila siku...Umependa mwenyewe.... Halafu unakuta hata kondom hautumii.....???? Ukifka home unamlisha mumeo hayo makombo..... Utakufa vibaya wewe...Endelea na kahaba....
  3. Prince Love

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Wakitatafuta utakimbilia wapi...??
  4. Prince Love

    Kisasi: Mke wa Boss ndani ya 18 zangu

    Mpige mashine huyo mtoto... Hivi vi boss uchwara vinatukana sana ila viongozi wenye uweledi hawawezi kufanya mambo hayo....!
  5. Prince Love

    Serikali "yasalimu amri" kwa Nimrod Mkono, TRA yafungua minyororo yake siku ya Sikukuu

    Definitely... Upuuzi mtupu...! KuKUrupuka 2.0
  6. Prince Love

    Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

    Unajua na wewe kama umepanic tu...! Yeye amekuheshimu ndio maana ameamua muanze kurasa mpya... / Wewe muulize ana nia gani na wewe afu ukimuelewa muanze kula maisha.... Kama ni mtu wa msaada sana kwako kwanini msifurahi pamoja..... Tatizo ni wewe kujikuta wa tamthilia sana.... Ingekuwa ni...
  7. Prince Love

    Jamani naombeni ushauri kwa hili?

    MMU ya mwendo kasi
  8. Prince Love

    Nimesitisha uhusiano na rafiki wa mume wangu, hataki kukubali

    Oyooooo Noumer noumer...... Nitakupigia baadae....!!!..... Ila kama ndoa zinakwenda hivi.... Haina haja..!!
  9. Prince Love

    Nimesitisha uhusiano na rafiki wa mume wangu, hataki kukubali

    Wewe endelea kutoa hiyo asali kwa wadau wote.... Mwenzio ameshaizoea so pigika tu
  10. Prince Love

    Ukitaka ku-enjoy maisha ya ndoa oa single mother

    Huyu naye ni single mother au single XXx....??? Watoto wa tatu ..??? It is a NO NO..... Wakati kuna mabinti wadogo kabisa na warembo wa kuanza nao family,.... Anapo zidisha mtoto zaidi ya mmoja inakuwa sio tena..... Khaaaaa.....
  11. Prince Love

    Kuhusu kukaribisha wageni chakula

    Ni kweli wamekosea ila kuna kitu kinaitwa UUNGWANA.... Afu na wewe pia sio mstaarabu kama unavyodhani ndio wachangiaji wengi wamekuona wewe ni mchoyo. Afu pia chakula sio ishu wengine hapa hata kula ni kama kazi fulani hivi... full uvivu... Hayo mambo ya kuwekeana share ulitakiwa kuongea na...
  12. Prince Love

    Kwanini watu huoga baada ya kujamiiana?

    Acha hizo ... Kwani gemu gani hautaoga.. ??? Labda zile zetu za saa 4 mpka 10 usiku.. Ndio tuoge wote asubuhi.... Au ..??
  13. Prince Love

    Kwanini watu huoga baada ya kujamiiana?

    Hivi vitoto vya primary vinakuja kufanya nini huku..???? Maswali ya kise*ge haya usitupotezee muda.... Muulize mzazi wako ..... Halafu tunashngaa haya matoto yanapata ZERO... SHenzi kabisa.... KAsome boya wewe.... Kama utakula hayo mapenzi endelea.... Tutakukuta barabarani na unaosha vioo...
  14. Prince Love

    Mchepuko umebeba mimba unataka kumwambia mke wangu

    Endelea kumtmba tu.... Kwani ulipokuwa ukimmwagia uliomba ushauri.... Hizi ndoa mlilazimishwa.....???? Vijana umalaya sio ishu.... Pumbavu sana, BWege
  15. Prince Love

    Mrejesho: Mchepuko wa Kikorea umeng'ang'ana nirudi nao Tanzania

    Safi sana mkuu... Tatizo limeshatokea kama mwanaume unapamabana nalo kwa mikakati afu unasonga mbele... Yote yata kwenda sawa tu mkuu... Lubebenamawe Nina swali dogo ili kupata ujuzi tu wa mila za wenzetu... JE, Watu wa Korea na jamii zao wana mila za kuoa zaidi ya mke mmoja ..??
Back
Top Bottom