Recent content by prinac

  1. prinac

    JamiiForums Tanzania Oman: Mtanzania auawa kwa kusukumwa toka ghorofani. Serikali yetu ipo wapi?

    Maisha humlazimisha mtu kwenda popote kutafuta riziki hata kama kuna viashiria vya hatari. Maisha ni mapambano. Kuna watu hulina asali hata kama ndani ya mzinga au mti kuna joka kubwa. Tusiwabeze wenzetu wanaoenda nje kujitafutia riziki, wana haki ya kulindwa.
  2. prinac

    JamiiForums Tanzania Umri sahihi wa kumuanzisha mtoto shule ya awali

    Kwa umri huo na kwa kuzingatia mfumo wa utoaji wa elimu ya awali Tanzania bado hauna tija kwa sababu mtoto wa miaka miwili kisaikolojia inabidi afundishwe social skills tu na siyo masomo ya darasani. Usasa unatuharibu! Shule zetu za awali nyingi zinavuka mipaka yaani badala ya kumfundisha mtoto...
  3. prinac

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nairobi ni Jiji kubwa East and Central Africa but......

    Matatu zimesaidia kuinua uchumi wa Kenya kwa sababu asilimia kubwa zinatengenezwa ndani ya nchi tofauti na Tz ambako magari mengi yanaagizwa moja kwa moja kutoka nje. Ukiwa Nairobi ni nadra sana kuona coster na hiace.
  4. prinac

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa kikiristo wachoma moto kituo cha kiislam Ujerumani

    Kumbe kuna tofauti kati ya MAGAIDI na MAGAIDI WA KIKRISTO!!! MAGAIDI ni wapi?!
  5. prinac

    JamiiForums Tanzania Sakata la Lema na USHAHIDI wa Vodacom (kamaa tadinu tudana)

    Mkuki kwa nguruwe....!
  6. prinac

    JamiiForums Tanzania Je tuna haki kisheria kudai sehemu ya mali ya baba yetu kwenye hili?

    Baba yangu alifariki miaka 10 iliyopita na wakati wa uhai wake alikuwa na wake wawili. Kwa bahati mbaya mke wa pili hakubahatika kupata mtoto. Kabla ya kifo aliniita mimi na mama mdogo (mke wa pili) na kutukabidhi nyumba moja. Kwa kuwa alitukabidhi kienyeji yaani bila vielelezo, mama yangu mdogo...
  7. prinac

    JamiiForums Tanzania Kenyatta na Ruto wakiunadi Mlima Kilimanjaro kwenye kadi ya Christmas

    Ni mali ya Waafrika!
  8. prinac

    JamiiForums Tanzania Nchi 10 za Afrika na miaka ziizojipatia uhuru

    Taja nchi kumi za afrika na ueleze miaka zilizopata uhuru na kiongozi aliyeipatia uhuru, koloni lililowatawala na ueleze lilipata uhuru kwa njia ya amani au vita.
  9. prinac

    JamiiForums Tanzania Daraja la Kigamboni lina kasoro kubwa kwenye EXITS

    Nahisi inawezekana magari yanayotokea Kigamboni kuelekea bandarini ni machache hivyo hakutakuwa na folen japo ni kweli kuwa hapa pana tatizo.
  10. prinac

    JamiiForums Tanzania Madiwani wa CHADEMA wilayani Hai wasusa kuhudhuria kikao cha mkuu wa mkoa Said Meck Sadiki

    Kwa kuwa wana hati chafu hii tunaitazama kama janjawili ya kukwepa kutumbuliwa, hakuna namna!
  11. prinac

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amdhalilisha Meya wa UKAWA Manispaa ya Ilala

    Ni wakati wa kuchapa kazi ili wananchi hasa wa Dar es salaam waone namna gani jiji chini ya UKAWA linavyobadilika kwa kuwa na maendeleo na si kulalamika kila siku. Kwa kuwa ulialikwa kwa mdomo tena kwa kupitia mgongo wa mtu inawezekana hukuwa mgeni maalumu na kwa maana hiyo kisicho rasmi...
  12. prinac

    JamiiForums Tanzania Vijana wasomi jiungeni CCM kuna fursa nyingi

    Unaweza kuhama kutoka CHADEMA na kuingia CCM kwa kutafuta fursa lakini baada ya miaka mitano ukajikuta badala ya kuwa chama tawala unakuwa chama pinzani!
  13. prinac

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya atabiri hali mbaya kwa CHADEMA

    Vyama vya upinzani hasa kwa bara la Afrika vinaonekana ni vya msimu kwa sababu msingi mkubwa wa maendeleo wa hivi vyama unategemea udhaifu wa chama tawala. Hivyo ikitokea chama tawala kikafanya vizuri basi upinzani unakosa nguvu. Pamoja na kwamba lengo kuu la chama chochote cha siasa ni kushika...
  14. prinac

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu CHADEMA: Mimi ndiye niliyebuni Kaulimbiu ya 'Lowassa - Mabadiliko'

    Alijitahidi maana slogan za uchaguzi mkuu 2015 kwa namna yoyote zililazimika kumlenga au kumwinua mtu na si chama. Wakati UKAWA wakiokolewa na jina la Lowasa, kwa upande wa CCM waliokolewa na Magufuli. ....chagua Magufuli badala ya chagua CCM.
Back
Top Bottom