Recent content by pretta360

  1. pretta360

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini zaidi ya %99.99 ya wanawake Afrika ni wanafiki sana wakati wa kufanya mapenzi, kujifanya hawajui kitu na kuwa magogo?

    Gazet refi point zeroo... ushauri acha kulala na watoto
  2. pretta360

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wenzetu mnawezaje kuishi decent life?

    Mungu anakupenda sana..ndo maana umepata hiyo guilty ya matendo Yako .badilika umrudie yy Kwa kuisha maisha yampendezayo
  3. pretta360

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiukweli sifurahishwi na harufu ya hii kitu

    Umempata mchafu labda
  4. pretta360

    JamiiForums Tanzania Hivi law of attraction/quantum physics ipo kweli hii kitu ilisababisha nipate depression

    Expectations ndo Zinaletaga depression mbaya..ndo maana ukitaka Amani punguza expectations...sali sala zako..fanya interview Yako..the rest muachie Mungu..yaan uwe na hii mentality ukipata sawa ukikosa sawa... depression utaiskia Kwa jiran...yaan Kwa kifup tuwe na kias...aliwah kusema Dr Isack...
  5. pretta360

    JamiiForums Tanzania A-Z Sakata la picha za utupu za Menina!

    Malipo dunian ahera kuhesabiwa
  6. pretta360

    JamiiForums Tanzania A-Z Sakata la picha za utupu za Menina!

    Kabisa
  7. pretta360

    JamiiForums Tanzania A-Z Sakata la picha za utupu za Menina!

    Menina nampendaga sema Kwa hii story imemuonyesha ni mwanamke ndumilakuwili asie na Iman...alikuwa anajifanyaga mtu wa dini kupost mambo ya Quran. Na mawaidha ya kimaadili kumbe mtu wa tunguli cjapenda 🥲..
  8. pretta360

    JamiiForums Tanzania Nahisi leo ndo nimeona chuma ulete live

    Je ukizidishiwa chenji na huna hayo mambo ya chuma ulete ni ishara Gani?manake Kuna cku Niko Mafinga napanda bajaji za kwenda kinyanambo ni 800,kufika nampa elf mbili dreva katurudisha elf tisa mia mbili,nkamwambia umezidisha hataki kunielewa ,nkamwambia nlikupa elf mbili , ndo abiria alikua...
  9. pretta360

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shemeji ananitaka

    Nimekumbuka Kuna x Wangu ambae alikua anataka kunioa kabisa lakin haikuwezekana lakin hatukuwah kugombana,..Sasa miaka 3 mbele akawa anawasiliana na bff wng, walitongozania messenger wnywe ,na nilikua naona bff anavofurahi kupigiwa na x wng ,yaan km aliingoja nafac hiyo kwel..kumbe alikua...
  10. pretta360

    JamiiForums Tanzania Mbali na kazi unayoifanya ni kazi gani nyingine unaipendelea zaidi lakini unajizuia kwa sababu zako binafsi?

    Mimi ni nilipenda kuwa mwandishi wa habar(mtangazaji), but wazaz na walezi, walinilazimisha professional nisiyoipenda,imenigharimu Kwa kwel
  11. pretta360

    JamiiForums Tanzania Unasemaje kuwa umefunga wakati kila jioni unakula?

    Siku 7,thubutu
  12. pretta360

    JamiiForums Tanzania Rasmi nimeacha pombe, zinaleta roho za kimasikini. Usiingie kwenye uraibu huo

    Imetukosea nin mpaka tuiache,??!!mpeni maskini pombe asahau shida zake ,hekima za mfalme Suleiman
  13. pretta360

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

    Dini haimpeleki mtu mbinguni bali Imani thabiti Kwa Mwenyezi Mungu,aliyeziumba mbingu na nchi
  14. pretta360

    JamiiForums Tanzania Kuna madhara yoyote damu ya hedhi ikiingia kinywani kwa bahati mbaya?

    Kuna story Kwa Anni Kaleb Facebook,bint alipata mchumba tajir,lakin tabia yake ilkua kumnyonya damu ya hedhi ,kumbe ulikua utajir wa kimapepo ,inatisha Ile true story..mpaka Sasa yule bint anaombewa na watumishi kuvunja maagano ya damu na yule tajir japo alishamuacha kitambo,..
Back
Top Bottom