Ikiwa unafatilia uchambuzi hasa kutoka tbc utaona tangazo zuri sana kutoka mamlaka ya mapato likielezea faida mbali mbali zilizopatikana na zitakazopatikana kwa kulipa kodi
Kwa kweli limenihamasisha kulipa kodi ili kuchangia maendeleo
Oktoba tututututu(in lusekelo voice)
Wanyantuzu Ile ni habari nyingine kabisa aisee anga zao usipite kirahisi ni katili mno hasa inapokuja suala la hela au cheo tz wanaweza kuwa kwenye top 3
Tff ijitahidi pia ipate mashabiki kama wale wakenya sio wacheza aerobic exercise uwanjani Kisha wanaitwa mashabiki
NB:Ben alikuwa kwenye benchi la ufundi pale Man U chini ya Ten Haarg sio kocha mdogo na anajua kupanga team
Ila akija bongo team hataweza maana figisu nyingi
"Hili tunabeba"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.