Recent content by Premier Mimata

  1. Premier Mimata

    Duh! Hii nayo kali watu wangu

    Ili usisumbuke tena, simu yako isijae kwa app nyingi hadi ianze kuwa slow, App hii apa!, ni mwisho wa matatizo, utapata 1.Blogu zote, 2.Redio Zote ,3. Tovuti zote kubwa 4.Mitandao ya kijamii ,yote ndani ya app moja [ZOTE MUHIMU APP]. BURE - Usipitwe na kitu! Jaribu hii. Zote Muhimu -Apps,Blogs...
  2. Premier Mimata

    Naombeni msaada juu ya app yangu waungwana.

    E bwana nina app yangu Inaitwa "Zote Muhimu" ni webview application, nimeangalia kwa jicho langu naona haina matatizo, ila sijui kwa wenzangu! Idea ilikua kutengeneza app ambayo itamrahisishia Mtanzania ambaye ana application nyingi kwenye simu yake hadi simu yake inakuwa slow, aweze kuwa na app...
  3. Premier Mimata

    Wana IT, Kuna kazi gani uliyowahi kuifanya vizuri, na hadi leo unajikubali?

    Kwa mimi ni kuweza kuweka hewani app ya kijamii isiyo ya kuingiza faida ya kuwezesha watu kujitolea kuchangia damu. Vipi wewe???
  4. Premier Mimata

    Habari wakuu, Mimi ni mjasiriamali ktk ICT, Naombeni baraka zenu!

    Kwanza natanguliza salamu kwa wahenga wa JF humu ndani. Mimi ni mjasiriamali katika ICT, na ninapenda topic yoyote inayohusiana na Kutengeneza Apps, Website, Graphics, MotionGraphics na systems za aina zote. Kwa ishu yoyote inayohusu IT/ICT , mambo ya systems na Apps nione tafadhali. naombeni...
  5. Premier Mimata

    Jamani, sikiliza hivi vitabu nakuahidi vitakusaidia sana.

    Vitabu vya sauti (Audio Books) nitakavyokupa mwisho wa hii thread vitakusaidia sana kwenye Biashara na maisha leo leo na utasimulia mwenyewe. Wengi ni wavivu sana kusoma vitabu,sana sana vitabu vikubwa.na mimi mwenyewe siko tofauti hapo,pengine nastahili kuwa kiranja kwenye kukwepa vitabu...
  6. Premier Mimata

    Pata website ya biashara(E-commerce) na M-PESA.. Itaunganishwa...

    Sidhani wewe ni mteja, utakua unataka tu kuonekana unajua au unataka kujua anaweza kiasi gani, Kama una Nia m PM, alafu mpatane unalipa akitengeza kitu Kama alivyosema...usiwe mwoga hvyo huibiwi kizembe hvyo
  7. Premier Mimata

    Natahitaji laptop kwa budget ya 700k

    Kwa hiyo pesa unaweza kupata nzuri zaidi ya hizo specification zako mkuu,zunguka madukani 2
Back
Top Bottom