Anakaa
Anakaa kwangu,chakula malazi yote kwangu kwa mwezi,na awe mwaminifu na mwenye kujituma,kama upo tayari weka namba ili tujuane wewe pamoja na nduguzo wa karibu
Ajira hakuna mazee nawe unataka jiunga kwa foleni isojulikana hatima yke kwisha,aende jkt zen kazi polsi au jesh zkitoka aombe huko,au kama mboga saba hasome tu chochote atashikwa mkono.
Yaani uingie class tena,now unamiaka mingapi?had uhitimu hiyo course yako huoni umri utakuwa unaenda paspo kipato na kazi now days ni probably,anzisha biashara kama unamtaji ,duka la vyakula haliwezi kukutupa coz binadamu kila cku lzma ale,kidgo kidgo kwa kuanzia unaweza kupanua wigo wa biashara...
Wapi uhuru wa mwandishi?tuseme huyu ajasoma mada ya uhuru wa mwandishi?why anataka fanya nchi kama ni yake?,hivi angefanyiwa ivyo anavyofanya sasa yeye angekuwepo hapo alipo? Vibaya hivyo baba ,binadamu hatujakamilika na usisahau nawe ni binadamu uraisi ni cheo tu,hivyo unapokosea lazima...
So pain yaani bora kuwa msanii utapiga mamilion wa kin diamind hao wametoboa na hakuna cha university wala nene,yaani inapidi tuachane na mavyeti cmba akitoa kazi hata ya dance inapidi tuapply tu maana mbona wakina iyobu wana make money na kuwamiliki wattoto wazuri wakina aunt Ezekiel,na maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.