Ajira za askari zishatoka?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,546
2,989
habar wanajamvi!

nilikuwa naomba kuuliza kuhus kuuliza ajira za polisi tayar zishatoka au bado kizungumkuti cha kusitishwa ajira? naona jkt wamechukuliwa form six tu c wengine hatujajua inakuwaje so kwa mwenye taarifa kamili anijuze.
 
habar wanajamvi!

nilikuwa naomba kuuliza kuhus kuuliza ajira za polisi tayar zishatoka au bado kizungumkuti cha kusitishwa ajira? naona jkt wamechukuliwa form six tu c wengine hatujajua inakuwaje so kwa mwenye taarifa kamili anijuze.
Bado hazijatoka na hata zikitoka zitawahusu wale waliopo jkt au kama watachukua mtaani basi watachukua wale waliopitia mafunzo ya jkt ya mujibu wa sheria
 
Back
Top Bottom