MP CHACHANDU
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 875
- 615
- Thread starter
- #41
Hahahahhh acha swaga nawe wakufire tuAcha lugha chafu. Hujui mla huliwa?
Hahahahhh acha swaga nawe wakufire tuAcha lugha chafu. Hujui mla huliwa?
Ndoo mwisho wako wa kufikri eti ?Mbona unajiumiza kujadili kitu ambacho yeye ndiye mwenye maamuzi.
Waraka hakuambiwa na mtu yeyote autoe pindi alipositisha ,basi usitoke mapovu kwa kitu ambacho huna maamuzi nacho.
Huwezi ona unajua kufikilia tendo ambalo kalifanya mwenzako kwa fikra zake, wewe utakuwa mchangiaji tu hata kama Una doctor,PhD nkNdoo mwisho wako wa kufikri eti ?
Utasubiri sana mkuu na sku zikitoka itakuwa afadhali ya jana maana itakuwa ni maumivu zen faru atakuja na vimsemo vyakeMbona wametangaza kuwa wanaanza na kada ya afya inafutia elimu vutenj subira mtaajiriwa tu
Kisu cha ngariba salama mkuu
Simujiajir wenyewe mbona ss tumejiajir maisha yapo gud tu mpaka muwe vibaraka wa serikal?
Muambiwe nini wakati mnasema ni uwongo zimepikwa tengenezeni za kwenu za kweliUsipoteze muda kujiuliza vitu ambavyo hautajibiwa. Mfano kila Mwezi tulikuwa tunasomewa makusanyo ya TRA na kuna miezi tulipewa hadi matumizi. Mwezi November na December 2016 hatujaambiwa chochote kuhusu makusanyo na jamaa wameuchuna kimya kama hakuna kinachoendelea. Chunga sana mtu anayependa sifa pekee, hayuko tayari kupokea mapungufu
Unalipigia kelele za nini kama hamna si hamna tu.Ajira ni jambo kubwa sana linalogusa karibu kila familia, huwezi kulinyamazia hadi 2020
Tafuta nchi nyingine uhamieSerikali kutuajiri ni wajibu na wala siyo ombi ila sema huyu magufuri nchi imemshinda
Ova
Hahaha mkuu naenda somalia......Nchi inanyooka kuelekea kuzimu
JK aliipindisha sana
Wewe ndoo unajua kufugab ndoo njia pekeeHivi bado kuna watanzania mnaziwazia ajira za serikali duuuh Njooni tulime na kufuga