Recent content by povour3

  1. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyas! Tanzanians feel sorry for what happened

    Well articulated
  2. P

    JamiiForums Tanzania Bavarian Illuminati halikuwa shirika baya, watu wamechafua title ya hili shirika kimaslahi

    Mkoloni aliondoka huku akiacha maendeleo mazuri tu hapa Afrika mfano ni Zimbabwe,leo hii hali ikoje Zimbabwe chini ya weusi ZANU-PF ? Pale South Africa chini ya ANC Hali ikoje ? Ukilinganisha ni enzi za Makaburu ? Wakina Mwalimu Nyerere walipewa nchi zikiwa vizuri kuzidi nchi kama...
  3. P

    JamiiForums Tanzania Bavarian Illuminati halikuwa shirika baya, watu wamechafua title ya hili shirika kimaslahi

    Tatizo Wala sio dini mfano hapa Tanzania 500b zinatumika Kununua magari ya kifahari,sasa hili lina uhusiano Gani na dini ? Wakati jamii haina maji,Barabara nk Rais Mkapa alichukua 133b kugharimu uchaguzi,shida ya mtu mweusi haipo kwenye imani ya dini Bali akili yake.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Kisa cha msanii Y-Dash na uchawi wa Igogo Mwanza

    Watu wa mkoa wa Rukwa tumepata taabu sana kuhusishwa na Habari za kichawi na ushirikina,sasa maeneo yenye uchawi ndo yanajulikana.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Anayetamani Makonda kuwa Rais hana akili timamu

    Gazeti la Mwananchi lisha wahi kuripoti kuwa "Watanzania 7m" Wana matatizo ya afya ya akili.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Roketi ya Kwanza Kutengenezwa Australia yaanguka sekunde 14 baada ya Kurushwa Katika Jaribio la kufikia Obiti

    Watu weusi wako bize kuuana sababu ya chaguzi za kiini macho,wakati wengine wakiwa kwenye majaribio ya Teknolojia.
  7. P

    JamiiForums Tanzania GE2025 Stephen Wasira: Rais Samia anakubalika kwa 70% kuliko hata Trump!

    Hopeless media house ever
  8. P

    JamiiForums Tanzania Hatimaye jaribio la Trump kuiondoa China kwenye mfereji wa Panama limefeli

    Mchina ku-deal nae kwa sasa inabidi utumie akili zaidi ya nguvu na maneno.
  9. P

    JamiiForums Tanzania Tetemeko Kuu lapiga Mashariki mwa Urusi, Tahadhari ya Tsunami yatolewa Japan, Hawaii na Visiwa vya Pasifiki

    Team pro -NATO wanaweza sana hiyo ni Kazi ya majajusi wa USA.
  10. P

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu na Mapambano ya Kikatiba: Tunapojifunza Sheria, si Kusikiliza Kejeli za Mawakili wa Serikali

    Huwa wakienda huko kwenye kesi za ushuruhishi huchapwa kisawa Sawa sababu hakuna mambo ya simu za maelezo ya hukumu.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Ifike mahala kumfollow Rais iwe ni lazima

    Watu weusi bado mko na ujinga mwingi sana.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Nikikumbuka boarding school siku ya wali wakaleta Ugali palichimbika

    Nilikuwa namiss sana msosi siku ya wali na nyama,siku moja nikaitwa kwenye ofisi ya second master, kwa kesi ya kumkaba koo kaka mkuu wa shule kwa kosa la kumzuia asichuke msosi ,wakati siku ya tukio nilikuwa wa mwisho kuchukua msosi.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Pongezi Bodi ya Ithibati kwa Waandishi wa Habari kwa Mwanzo Mzuri, Cheti Kisitumike kama Fimbo Kuwachapia Wenye Vipaji, Uwezo na Uzoefu wasio na Cheti

    Na Kuna swali umeuliza kwamba kipaji Cha uañdishi wa habari ndo kipoje ?mpaka sasa hakuna aliye jibu ?
  14. P

    JamiiForums Tanzania Pongezi Bodi ya Ithibati kwa Waandishi wa Habari kwa Mwanzo Mzuri, Cheti Kisitumike kama Fimbo Kuwachapia Wenye Vipaji, Uwezo na Uzoefu wasio na Cheti

    Umepiga kwenye mshono,katika jambo la taaluma serikali haipaswi kucheka na mtu,hata JPM aliwafurusha wenye vyeti fake haku taka kusikia mambo ya experience Wala kipaji. Elimu Elimu Elimu
Back
Top Bottom