Recent content by popiexo

  1. popiexo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Soko la kanga (guinea fowl)

    Vipi bei yao kwa Kanga wakubwa.
  2. popiexo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Soko la kanga (guinea fowl)

    Nimefuga kanga lakini sijapata soko zuri na la uhakika kiasi mpaka imebidi nipunguze uzalishaji wake. Mwenye kufaha soko naomba anijuze.
  3. popiexo

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Usajili wa namna hii ndio utafanya hata Suarez afikirie kutimka
  4. popiexo

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mnaishia kusema huyu tulikuwa tumsajili mwaka juzi
  5. popiexo

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mentor usisikitike sana tumwamini JM
  6. popiexo

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Anakuja beki wa ukweli Eliaquim Mangala kuziba pengo
  7. popiexo

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hii ilikuwa mechi ya kujiandaa na ile ya jumatano, hiki ndio kitakacho wapata Atletico
  8. popiexo

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaanza kutafuta Ndege iliyo potea

    Teh teh teh teheeeeee!
  9. popiexo

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mechi ya 1500 itakuw2a 9-0
  10. popiexo

    JamiiForums Tanzania Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara

    Siku nitakutembelea nione kwanza
  11. popiexo

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tanga halianukiki, misiba mfululizo. Aliyesema hkuna mwaka wa shetani nani?
  12. popiexo

    JamiiForums Tanzania Simba sports club mbioni kubadilisha jina na kuwa dar es salaam united

    Simba kapakatwa United
  13. popiexo

    JamiiForums Tanzania Al Ahly wametuzidi kila kitu, na wamekuja

    Hujui lolote we kiazi, ina maana hujui kama kocha msaidizi wa Yanga alikuwa Cairo siku chache zilizo pita?
  14. popiexo

    JamiiForums Tanzania Wafuatao waliwahi kukutana uso kwa uso na busara na hasira za Mwalimu Nyerere!..

    Haa haa hahaaa, 1 jumlisha 1 ni ngapi? Huyu mzee alikuwa anajua.
  15. popiexo

    JamiiForums Tanzania Hassan Marin wa TBC hafai kwenye TV

    Poor Marin, ni mtu mwenye general knowledge hivyo hawezi kuwa na uwezo wa kuwa na maswali ya kina kwa kila sector, ni vizuri ajifunze kuwaachia wengine wenye uelewa mzuri kuhusu kitu fulani ndio wakafanya mahojiano. Siasa yeye, uchumi yeye, ukemia yeye, maendeleo ya jamii yeye, elimu yeye...
Back
Top Bottom