yohana charles
Senior Member
- Mar 21, 2013
- 134
- 10
Kutokana na mchakato wa kuboresha katiba ya timu ya Simba kuna taarifa kwamba moja ya mambo yatakayopelekwa kwa wanachama ni pendekezo la kubadilisha jina la timu hiyo kutoka SIMBA SC na kuwa DAR ES SALAAM UNITED SPORTS CLUB...wana msimbazi mnaonaje?