Nimefuga kanga lakini sijapata soko zuri na la uhakika kiasi mpaka imebidi nipunguze uzalishaji wake. Mwenye kufaha soko naomba anijuze.
Vipi bei yao kwa Kanga wakubwa.Hawa jamaa wenye mabanda ya kuuzia kuku kienyeji kama pale breakpoint au ukonga wananunua
je unayo Mayai ya kanga?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us