Poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa. Ninaomba msaada wenu wa mawazo kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Moja: napenda kufahamu kwanza tofauti kati ya BODY SPRAY, PERFUME, DEODORAT.
Kwa mkutadha huo napenda mnifahamishe nitumie kipi kati ya kimojawapo hapo juu.
Tatu: Ili ujue...
Katika sekta ya afya kuna hospitali na maabara,,
Hospitali haiwezi kukamilika bila kuwa na maabara lakini maabara inaweza kujitegemea yenyewe bila kuwa na hospitali.
Hospitali ni sehemu ambayo hukusanyika wagonjwa wa aina mbalimbali wanaohitaji huduma za kiafya zikiwemo dawa, meno, maabara n.k...
Habari wanabodi, poleni kwa majukumu.
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kufahamu kilichosibu soko la mayai ya kisasa. Kwa wale wafugaji wa kuku wa mayai watakuwa na kumbukumbu ya miaka yote ya nyuma ya kuwa bei ya mayai trei moja haikuwahi kushuka chini ya 5000.
Lakini hali ilivyo kwa sasa...
Hata mm ninaweza kutoa msaada kama huo,, ila sio kurudiana nae kimapenzi, mschana akikukataa jua hana hisia na ww na mimi huwa sipendi kulazimisha mtu ambae hana hisia na mm kwasababu mwisho wa siku atakuja kukumiza ujute maisha yako .....binafsi kumsaidia kulea mtoto hilo ningefanya sana tu ila...
Poleni sana tena sana, ushauri wangu: kama alishawahi kumuona Gynecologist na bado hakupata nafuu basi nakushauri na usipuuzie ajaribu kufanya kipimo kinachoitwa Rubella Virus,, kipimo hiki hapa bongo hakipo ila kuna chanjo zake huenda hakuchanjwa .kipimo hiki unaweza kukipata LACENT LABORATORY...
Baba anunua ndege mbili bahati mbaya akitafuta zawadi ya Birthday
Baba mmoja nchini Saudi Arabia amenunua ndege mbili aina ya Airbus A350-1000 kwa bahati mbaya, wakati akitafuta zawadi ya Birthday ya mwanae mtandaoni.
Bilionea huyo anayefanya kazi katika Wizara ya Nishati nchini humo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.