Recent content by Poorman

  1. P

    JamiiForums Tanzania Mengi vs Manji: Ukweli ni upi?

    Toa point , usiropoke tu ili mradi unataka kushabikia ufisadi, Hao wote waliotajwa hapo kama mashahidi wamefuja mamilioni ya pesa za umma tena kwa kupitia huyo Manji, na kwa kuwa magazeti ya Mengi yali report taarifa zao basi leo wanatengeneza genge la majambazi na kujifanya mashahidi, Then...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

    Duh hayo makubwa sasa!!!
  3. P

    JamiiForums Tanzania The Radar Scandal: Investigation & Progress

    Lakini je waandamanaji watajitokeza?? ngoja tusubiri maana watanzania kwa maneno hawajambo ukishawaambia twende sasa msitari wa mbele utasikia excuse kibao. Tusubirie tuone
  4. P

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Vyeti bandia, elimu za kununua na watumishi vihiyo

    Hapa mimi namuunga mkono Prof. Msola kwani ni hatua nzuri tu aliyofikia, maana mwanzo aliahidi kufuatilia hilo, tukaona kimyaa tukaanza kulalamika, lakini ameonesha kuwa kile kimya kilikuwa na maana yake. Hivyo siyo kila mara tuwe watu wa kutoa critism tu, pamoja na mabaya wanayofanya lakini...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Mengi vs Manji: Ukweli ni upi?

    Mnhhhhh Hapa a pazito ,kazi ipo!! Pesa yetu wenyewe wafanyakazi tunaotoa michango yetu NSSF na Mashirika ya Umma PPF na PSPF zinaanza kutuharibia hata bunge!!!!! Kweli nchi imeoza tumeshauzia wahindi.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Je, wapinzani ni wakombozi?

    Well, Marando ni NCCR by card but not by heart. Na ndiyo maana kama unakumbuka wapinzani walishamjua hilo wakati wa kugombea Ubunge wa East Africa Wapinzani wote hawakumpa kura !! CCM pekee yao ndiyo walimpa kura na wapinzani hata zile vote of thanks walikataa kumpa kwani yule ni CCM...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Je, wapinzani ni wakombozi?

    Kilio upinzani: JK leo kupokea vinara wengine 2007-01-10 16:43:47 Na Mary Wejja, Jijini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, CCM, Bwana Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kupokea vinara waliotimka kutoka vyama mbalimbali vya upinzani...
  8. P

    JamiiForums Tanzania Je, wapinzani ni wakombozi?

    Hawa ndiyo wale wanaoingia kwenye vyama kwa kufuata masilahi, kumbe unatakiwa uingie kwa lengo la kuwasaidia au kuwatumikia watu. Kwa hiyo hapo inaonesha jinsi CCM wasipoangalia wanaokota makombo !!! Nikijaribu kiuangalia tangu wameanza kuwachukua hawa wapinzani tukianza na Lamwai, Marando...
  9. P

    JamiiForums Tanzania Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

    Hongera mwanakijiji Article yako nimeiona na nimeisoma imekwenda shule. Keep it up Wenye masikio na wasikie, wenye macho na waangalie
  10. P

    JamiiForums Tanzania Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

    Nasikia uchungu sana ninapoona sisi Watanzania, wana wa Nyerere tunavyochezewa akili na kuonewa watakavyo hawa tunaofikiri tumewaamini kumbe tumemkabidhi FISI bucha za Nyama!!! Ukweli kuhusu Richmond Development ni huu:- RDC si kampuni ya kimarekani kama walivyojitangazia. Hii...
  11. P

    JamiiForums Tanzania Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    Swali la kwa nini wakati wa Mwinyi wengi wa viongozi waisilamu walijitokeza wakati enzi za Nyerere walikuwa kimya nakubaliana nalo kabisa, Lakini naomba tuliangalie pia katika hii awamu ya nne ya JK, Kuna viongozi wengi sana hapo kati wakati wa BM hawakuwahi jionesha kuwa wao pia ni swala...
  12. P

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya daraja la Kigamboni!

    Wewew DrWho unataka utafiti gani zaidi ya huo uliopo!!! Kama hukubaliani na Gazeti la Tanzania Daima lililoandika, basi mwambie huyo Br. wako akalishitaki, Au nawewe umekula cha juu nini kwenye hiyo tender. !!!! Kama wameweka machine ambayo najua imegharimu pesa nyingi sana na inasaidia...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Lecturers wa Mzumbe wana degree Feki - VC wao naye FEKI

    Hivi, Mwalimu akiwa na feki degree, unategemea mwanafunzi anayetoka hapo anapata kitu gani kama siyo feki x feki= FEKI, . Ndiyo maana watu kama akina Mchimbi wanamaliza mzumbe baadaya ya mwaka mmoja they claim to be called Dr. ??????? from advanced diploma to PhD holder in 1year ...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

    Nakupa Tano ( 5) Jokakuu kwa data zenye uhakika. nakubaliana na wewe kabisa, kuwa kama Nyerere angekuwa mdini basi hali ingekuwa mbaya zaidi kuliko inavyofikiriwa, Kwanza ikumbukwe kuwa hata hizo shule walizosoma hao waislamu maprofesa zilikuwa za kikristu, na walimu wote wakristu...
Back
Top Bottom