Recent content by pongwa yusufu

  1. pongwa yusufu

    Kipindi maalum cha maendeleo ya ujenzi wa reli nchini

    hamna mnacho weza muna mipango miiingi ya abunuasi ! leteni mil 50 kila kijiji ndipo tuongee mengine
  2. pongwa yusufu

    Mwanamke kutaka mahali mil500 ni sawa?

    labda kama anatoa dhahabu kila mwezi
  3. pongwa yusufu

    Tundu Lissu kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa kutokana na mahojiano aliyofanya na BBC

    kwani watu hawapotei?hawatekwi?hawaligwi risasi hovyo?
  4. pongwa yusufu

    Singida United timu yenye wadhamini wengi kushinda vilabu vyote kusini mwa jangwa la sahara

    simba na yanga ni misukule tu ya tanganyika hakuna mpira huko
  5. pongwa yusufu

    Edo Kumwembe: Tofauti kati ya Trump na wazungu wengine

    kweli kabisa sisi waafrika vichwa vyetu vimejaa ugali na wala sio akili hasa wa tz
  6. pongwa yusufu

    Timu gani ya mpira unaichukia sana? Na kwa nini?

    yanga siipendi kabisa
  7. pongwa yusufu

    So sad nimekuta mke wangu akigegedwa na house boy kwenye sofa nilizonunua mwenyewe

    chuma huliwa na kutuu!cha mtu huliwa na mtuu!mji hauna ushemejiiiiii!
  8. pongwa yusufu

    John Pombe Magufuli: Kiongozi pekee barani Africa mwenye hotuba zenye mvuto zaidi kwa wananchi wake kwa sasa

    kwa hiyo kusikiliza hotuba tu tosha hata kama una njaa hujala?
  9. pongwa yusufu

    Tumpigie Rais Magufuli kura ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017

    kwa jambo gani kubwa wakati njaa ni kali mfukoni hata kama nafanya kazi halali?
  10. pongwa yusufu

    TRA kumchunguza Askofu Kakobe baada ya kumsikia akisema ana hela kuliko Serikali

    mlikuwa wapi mpaka aseme mwenyewe kuwa tajiri hamna utaalamu kujua shughuli mtu anazofanya na kujua kipato chake na nyie tra ni majipu tu
  11. pongwa yusufu

    Marcus Cicero: Yeyote anayejaribu kuongoza nchi kwa kutumia hofu ni mwehu

    kweli kabisa zito tena chizi kabisa kama yupo mtawala wa hivyo ni mwendawazimu
  12. pongwa yusufu

    Upandishaji madaraja umeishia wapi?

    sijapata kuona serikali inayo dharau watumishi wa uma kama hiii
  13. pongwa yusufu

    Kama Rais Magufuli anaua Upinzani, kwanini Wananchi wako kimya?

    ulitaka wananchi wafanye nini
  14. pongwa yusufu

    Jimbo la Tundu Lissu lina hali mbaya, hakuna maendeleo yoyote

    kwani mbona mpaka leo nchi hii inatwaliwa na chama chako ccm lkn bado masikini na vyuma vimekaza !
Back
Top Bottom