Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,920
- 122,186
SINGA>>>>SINGIDA
SINGA>>>>SINGIDA
Kabisa mkuu, Azam na Singida wanakuja kuchukua hatam.Si muda zitabaki historia
Big up sana kwa mwigulu timu ina udhamini wa
1.Yara
2.sportpesa
3.NMB
4.ORYX
5.PUMA
6.Azania
7.Halotel
Bado kuna
1.azam tv
2.vodacom
Simba na yanga mnakwama wapi?
Yeye ni meneja tu amewekwa na mwigulu sababu alikuwa kijana wake alimsaidia sana kipindi cha nyuma ndo aliratibu yale maandishi yote barabarani na kwenye mawe ya MWIGULU RAIS 2015 timu ni yawanahisa wawili mwigulu na yule tajiri mwenye mabasi ya royalHivi huyu Festo Sanga ndo miliki wa Singida?
Big up sana kwa mwigulu timu ina udhamini wa
1.Yara
2.sportpesa
3.NMB
4.ORYX
5.PUMA
6.Azania
7.Halotel
Bado kuna
1.azam tv
2.vodacom
Simba na yanga mnakwama wapi?
utitili wa wadhamini kwa kiwango cha sh ngapi????? maana wengine hapo hata m1 haifikiBig up sana kwa mwigulu timu ina udhamini wa
1.Yara
2.sportpesa
3.NMB
4.ORYX
5.PUMA
6.Azania
7.Halotel
Bado kuna
1.azam tv
2.vodacom
Simba na yanga mnakwama wapi?
Umesahau kwamba ni timu ya waziri tena wa wizara nyeti na hao wadhamini ni Mabepari?Big up sana kwa mwigulu timu ina udhamini wa
1.Yara
2.sportpesa
3.NMB
4.ORYX
5.PUMA
6.Azania
7.Halotel
Bado kuna
1.azam tv
2.vodacom
Simba na yanga mnakwama wapi?