YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,033
Achana naye anataka wanawake wa dezo huyo wa bukuMkuu mnamuongelea nani? Cjaielewa bado
Achana naye anataka wanawake wa dezo huyo wa bukuMkuu mnamuongelea nani? Cjaielewa bado
kabisaaaa..yeye mwenyew kiasi hcho anaishia kukisoma kwenye magazeti ama ktk platform mbalimbaliSomething is Wrong somewhere.
Kuacha kubaya sana.
She was not in her normal state of mind.
hahaaaaa sakayo umetisha leoHata Biko hawafui dafu hapo
Sio kwa sayari hii mkuu , hapa mbona wanaguswa mapemaKama yeye mwenyewe ameridhia ni sawa kabisa Ila awe mpyaaa hajaguswa
Ndio hapo sasa, yaani mademu wengine hazipo kabisa, yaani mume wa maisha wanampiga mzinga wa mahari alafu wapenzi tu wa kawaida wao wanapewa wamege tuMbona wachumba zake wanakula bure na kuwahonga juu
huyo mtt aliepewa mtaji huo unamuongelea diva yupi??? huyu anaetembea na viben ten au kuna mwingne kajitokeza???Ni mtaji tosha kwa maskini kwa matajiri wakubwa hiyo ni pesa ya kumnunulia mchumba Pete ya uchumba ya Almasi tupu na chain za kuvaa za madini ghali.tulushaongea sana humu kuwa kila MTU aoe saizi yake.Huyo mtoto wa kike unakuta wazazi wake wamempa biashara na maghorofa ulaya na marekani na anamiliki ndege za abiria na visima vya mafuta kwake milioni 500 ni nini?tatizo hapa maskini ambao hawajawahi shika hata milioni 10 wataka dezo ndio wanajitia ohh anajiuza.unaijua hadhi ya huyo mwanamke?
Daah hongera mkuu kwa povu hili m1 tu mi inanitoa jashoNi mtaji tosha kwa maskini kwa matajiri wakubwa hiyo ni pesa ya kumnunulia mchumba Pete ya uchumba ya Almasi tupu na chain za kuvaa za madini ghali.tulushaongea sana humu kuwa kila MTU aoe saizi yake.Huyo mtoto wa kike unakuta wazazi wake wamempa biashara na maghorofa ulaya na marekani na anamiliki ndege za abiria na visima vya mafuta kwake milioni 500 ni nini?tatizo hapa maskini ambao hawajawahi shika hata milioni 10 wataka dezo ndio wanajitia ohh anajiuza.unaijua hadhi ya huyo mwanamke?
Hata kama hajaguswa, mil.500 for what, ananini cha zaid na wenzake, amekua malaika au amekua nuru ya kutuangazia gizan....shitKama yeye mwenyewe ameridhia ni sawa kabisa Ila awe mpyaaa hajaguswa
Hadhi ya mwanamke ni papuchi hakuna zaidi heshima ya mwanaume ni mashine tu hakuna zaidi vinginevyo vyote ni ziada pesa nyumba gari miradi ni ziadaNi mtaji tosha kwa maskini kwa matajiri wakubwa hiyo ni pesa ya kumnunulia mchumba Pete ya uchumba ya Almasi tupu na chain za kuvaa za madini ghali.tulushaongea sana humu kuwa kila MTU aoe saizi yake.Huyo mtoto wa kike unakuta wazazi wake wamempa biashara na maghorofa ulaya na marekani na anamiliki ndege za abiria na visima vya mafuta kwake milioni 500 ni nini?tatizo hapa maskini ambao hawajawahi shika hata milioni 10 wataka dezo ndio wanajitia ohh anajiuza.unaijua hadhi ya huyo mwanamke?