Bongo flava hakuna kitu kazi yao ni copy and paste nyimbo za magharibi,wasanii hata kushika gitaa hajui na bado wizara inawatazama tu wanaiga nyimbo za mabwanyenye utamaduni wetuu uko wapi ???
kweli mamlaka zimelala juzi naibu waziri mawasiliano na yy analalamika bei ya kuongea kwa simu dkk moja ni Tsh 10.40/= lakini airtel na wengine ni Tsh 60/= kwa dkk, imagine anashindwa kuchukua hatua !
Dewji hajafanya uwekezaji wowote mpaka sasa na anakiri hivyo na kusema wazi pesa anatpa mfukoni na sio ya uwekezaji, muwe mnafutilia sio kupiga piga kelele tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.