Recent content by Polonium

  1. Polonium

    Msanii Moni Centrozone 'amwaga chozi' live kwenye XXL

    Bongo flava hakuna kitu kazi yao ni copy and paste nyimbo za magharibi,wasanii hata kushika gitaa hajui na bado wizara inawatazama tu wanaiga nyimbo za mabwanyenye utamaduni wetuu uko wapi ???
  2. Polonium

    Gadiel Michael vs Tshabalala: Mpira ni nyota

    Dharau ilikuwa kubwa sana kwa timu pinzani !
  3. Polonium

    Usajili wa Simba SC 2019/2020

    Katika usajili watu waangalia10%
  4. Polonium

    Vodacom tutendeeni haki wateja wenu. Mnapandishaje Cost 25% kimya kimya bila kutujulisha? Huu sio wizi wa mchana Kweupe? TCRA mnalijua hili?

    kweli mamlaka zimelala juzi naibu waziri mawasiliano na yy analalamika bei ya kuongea kwa simu dkk moja ni Tsh 10.40/= lakini airtel na wengine ni Tsh 60/= kwa dkk, imagine anashindwa kuchukua hatua !
  5. Polonium

    Simba sio timu tajiri

    Dewji hajafanya uwekezaji wowote mpaka sasa na anakiri hivyo na kusema wazi pesa anatpa mfukoni na sio ya uwekezaji, muwe mnafutilia sio kupiga piga kelele tu
  6. Polonium

    Zahera siku zako zinahesabika

    Usitetee uovu !
  7. Polonium

    Simba sio timu tajiri

    Hili suala la kutumia hela ya mfukoni kuendesha timu CAF hawana sheria inayothibiti suala hili kama UEFA ?
  8. Polonium

    Chata kali ya jezi au viatu vya michezo

    Washauri TFF na vilabu vya Tanzania waachane na uhlsport, sijui wanakwepa nini kuvaa brand za nike, puma, adidas etc
  9. Polonium

    TFF mdhamini ligi kuu 2019/2020 vipi?

    ,????????,!!!!!!!!!
Back
Top Bottom