Geranimo E K I A
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,254
- 5,392
AiseeNionavyo tumpe muda kwani asilimia kubwa ya wachezaji ni wageni.
AiseeNionavyo tumpe muda kwani asilimia kubwa ya wachezaji ni wageni.
AiseeNionavyo nusu msimu tu.
AiseeZote zinao ila si kwa wingi wa walionao Yanga.
AiseeUnanichosha bana babu. Google tu. [emoji2211][emoji2211]
Ndiio. Tumpe mudaAisee
Usitetee uovu !yanga wachezaji wengi wageni, na yanga hawajafungwa hata mechi moja ya mashindano, hiyo ni mechi ya kirafiki haina maana yoyote
😂😂😂😂😂Mtamlaumu dobi kumbe kaniki ndiyo rangi yake.
🤣🤣🤣🤣🤣Duh... Huyu si tangu mwaka jana anawafundisha vyura kula matikiti? Haya mwongezeeni tena nusu msimu labda vyura wataweza kula mananasi
Vvye wajua mpira wa sasa ni pesa,Zahera ameshawashika akili vyura aka matikiti fc
Ile pesa anayowadai alishalipwa?Kila kukicha ww lawama wachezaji umesajili ww mwenyewe halafu unawalaumu nilishangaa sana mechi ya jana na polisi Unawapa lawama wachezaji hivyo ndo ulivyowafundisha sababu nyingine eti uwanja hv polisi walikuwa uwanja wa taifa au wanayanga huyu jamaa kiburi kimezidi anaifanya yanga kama timu yake kila siku eti anajenga physic ya wachezaji hakuna hata Timu kubwa ambayo umepata matokeo zaidi ya penati wanayanga tunataka matokeo hatutaki maneno
Zahera sio kocha
Kote huko.mbona mbali sana? Kocha hovyo sana huyu yani anatakiwa afyekelewe mbali hata sasa hiviHuyu jamaa ni kocha wa kulalamika! Wachezaji waliosajiliwa karibia wote amewapendekeza mwenyewe, lakini bado analalamika hawamfai!
Amechelewa kujiunga na kambi kwa sababu zake binafsi, leo viongozi wameona wamsaidie kutafuta mechi sahihi za kirafiki ili kutengeneza chemistry nzuri ya timu, bado anatoka hadharani anawalaumu viongozi kwa maamuzi hayo!
Ningekua mimi ndiye Dr. Mshindo Msolla, ningempa mechi moja tu ya marudiano na Township Rollers! Angeshindwa tu kuwafunga, ningepata kisingizio cha kumfyekelea mbali.
Huyu kocha wetu mpendwa hawezi kufukuzwa