Simba sio timu tajiri

Hziyech22

JF-Expert Member
Jun 8, 2019
13,559
18,881
Haji manara pamoja na mashabiki wa Simba wamekuwa wakisema Simba ni tajiri sio kweli Simba ni tajiri Bali inamwekezajj tajiri team tajiri inapimwa kupitia account ya bank inasemaje na namna ambavyo inajiendesha yenyewe Bila kutegemea hela za mwekezaji au wafadhili gharama hizo zinaweza zikawa kulipa mishahara,kulipa malazi ya wachezaji pamoja na benchi la ufundi, usajili n.k je Simba Ina pesa hizo zakifanya haya Bila pesa za mwekezaji au wafadhili?mfano team Kama Esperance ndio team ya mfano mzuri hii team ndio unaweza kusema ni timu tajiri cos inasponsors 13 Ina inapata hela nyingi kupitia caf champion league cos inakuwaga inafanya vizuri Sana lakini ligi yao mshindi wa trophy anapata hela nyingi, ni ligi ya pili ambayo bingwa wa ligi anapata hela nyingi ukitoa ligi ya sa.Ni team yenye uwezo wakujiendesha Bila ya pesa ya mwekezaji.

Ushauri wangu kwa team za Tanzania ifike mahali zitengeneze vitega uchumi vingi kwa manufaa ya club zao ili ziwe na power kuliko wawekezaji au wafadhili ili hata wafadhili au wawekezaji wakiondoka mnakuwa mnauwezo wa kujiendesha tofauti na Sasa mwekezaji au mfadhili akiondoka team inageuka kuwa ombaomba.
 
Hata wakija wafuasi wa manara: mtoa hoja wala hatukani ila anashauri.. na sisi ushauri tunaupokea ila tunajaribu kumkumbusha tu kwamba kweli simba bado haijawa timu tajiri ila haijalala usingizi kama gongo wazi. simba inajaribu kufanya mipango ya kujikwamua na kupiga hatua kuelekea kwenye soka la kisasa ili tuondokane na soka la ridhaa. na ndo maana tumetafuta muwekezaji ambaye nyie gongo wazi mnamwita mfadhili sijui! tukishaweka mambo sawa na muwekezaji tutaingia hatua nyingine ambayo tutawatangazia hapo baadae..........
 
Utajiri sio pesa bank tu unamikiki rasilimali gani kiuchumi ndo ujumlishe hela yako bank sasa kwa vilabu vya bongo simba ni tajiri gongo wazi awezi kubali hilo hata kdg sababu linauma moyoni
 
Yanga tajiri kuliko mikia..udhamini wa Sportpesa,Taifa gas na GSM ni mkubwa kuliko Pesa za Mo za kutoa mfukoni
 
Haji manara pamoja na mashabiki wa Simba wamekuwa wakisema Simba ni tajiri sio kweli Simba ni tajiri Bali inamwekezajj tajiri team tajiri inapimwa kupitia account ya bank inasemaje na namna ambavyo inajiendesha yenyewe Bila kutegemea hela za mwekezaji au wafadhili gharama hizo zinaweza zikawa kulipa mishahara,kulipa malazi ya wachezaji pamoja na benchi la ufundi, usajili n.k je Simba Ina pesa hizo zakifanya haya Bila pesa za mwekezaji au wafadhili?mfano team Kama Esperance ndio team ya mfano mzuri hii team ndio unaweza kusema ni timu tajiri cos inasponsors 13 Ina inapata hela nyingi kupitia caf champion league cos inakuwaga inafanya vizuri Sana lakini ligi yao mshindi wa trophy anapata hela nyingi, ni ligi ya pili ambayo bingwa wa ligi anapata hela nyingi ukitoa ligi ya sa.Ni team yenye uwezo wakujiendesha Bila ya pesa ya mwekezaji.
Ushauri wangu kwa team za Tanzania ifike mahali zitengeneze vitega uchumi vingi kwa manufaa ya club zao ili ziwe na power kuliko wawekezaji au wafadhili ili hata wafadhili au wawekezaji wakiondoka mnakuwa mnauwezo wa kujiendesha tofauti na Sasa mwekezaji au mfadhili akiondoka team inageuka kuwa ombaomba.
Hili suala la kutumia hela ya mfukoni kuendesha timu CAF hawana sheria inayothibiti suala hili kama UEFA ?
 
Haji manara pamoja na mashabiki wa Simba wamekuwa wakisema Simba ni tajiri sio kweli Simba ni tajiri Bali inamwekezajj tajiri team tajiri inapimwa kupitia account ya bank inasemaje na namna ambavyo inajiendesha yenyewe Bila kutegemea hela za mwekezaji au wafadhili gharama hizo zinaweza zikawa kulipa mishahara,kulipa malazi ya wachezaji pamoja na benchi la ufundi, usajili n.k je Simba Ina pesa hizo zakifanya haya Bila pesa za mwekezaji au wafadhili?mfano team Kama Esperance ndio team ya mfano mzuri hii team ndio unaweza kusema ni timu tajiri cos inasponsors 13 Ina inapata hela nyingi kupitia caf champion league cos inakuwaga inafanya vizuri Sana lakini ligi yao mshindi wa trophy anapata hela nyingi, ni ligi ya pili ambayo bingwa wa ligi anapata hela nyingi ukitoa ligi ya sa.Ni team yenye uwezo wakujiendesha Bila ya pesa ya mwekezaji.

Ushauri wangu kwa team za Tanzania ifike mahali zitengeneze vitega uchumi vingi kwa manufaa ya club zao ili ziwe na power kuliko wawekezaji au wafadhili ili hata wafadhili au wawekezaji wakiondoka mnakuwa mnauwezo wa kujiendesha tofauti na Sasa mwekezaji au mfadhili akiondoka team inageuka kuwa ombaomba.
Upupu!
 
Utajiri sio pesa bank tu unamikiki rasilimali gani kiuchumi ndo ujumlishe hela yako bank sasa kwa vilabu vya bongo simba ni tajiri gongo wazi awezi kubali hilo hata kdg sababu linauma moyoni
5imba ina rasilimali zipi za thamani ipi kuizidi Yanga?
Mnalishwa matango pori na Haji mnabaki kukariri tu.
Ndiyo maana Mo kawaambia thamani yenu ni billion 20 mkasema hewala.
 
5imba ina rasilimali zipi za thamani ipi kuizidi Yanga?
Mnalishwa matango pori na Haji mnabaki kukariri tu.
Ndiyo maana Mo kawaambia thamani yenu ni billion 20 mkasema hewala.

Yanga thamani yenu ni mchango ya kwenye sahani kuaongezea kwenye jezi mana GSM amewasahidia kidg vingine vyote sio vyenu jengo lile la pale mtoni la mama karume amna maamuzi nayo na uwanja mmepewa kigamboni ni cha ccm makonda akawabeba haya onyesheni chenu ndo mana manji amekataliwa sio na wanayanga hapana wenye mali zao akaona kumbe timu inamilikiwa na watu kitambo mnadanganywa timu ya wananchi wakati mama karume anawaangalia tu
 
Yanga thamani yenu ni mchango ya kwenye sahani kuaongezea kwenye jezi mana GSM amewasahidia kidg vingine vyote sio vyenu jengo lile la pale mtoni la mama karume amna maamuzi nayo na uwanja mmepewa kigamboni ni cha ccm makonda akawabeba haya onyesheni chenu ndo mana manji amekataliwa sio na wanayanga hapana wenye mali zao akaona kumbe timu inamilikiwa na watu kitambo mnadanganywa timu ya wananchi wakati mama karume anawaangalia tu
Its a waste of time to argue with the likes of Haji Manara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom