Naomba kuuliza,kwa IST old model katika hali ya kawaida inakunywa mafuta kiasi gani per km? Maana naona kama yangu inazidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu hapa mjini mafudi wa Ac za magari ni wababaishaji,ukipeleka hakatai ila anajaza gas basi kesho yake tatizo linajirudia.
Naomba kujua nani BINGWA wa AC za magari hapa jijini Dar hata kama being yake iko juu ilimradi anipe Warrant baada ya kuitengeneza.
Tafadhali nawakilisha
Sent using...
Wakuu hapa mjini mafudi wa Ac za magari ni wababaishaji,ukipeleka hakatai ila anajaza gas basi kesho yake tatizo linajirudia.
Naomba kujua nani BINGWA wa AC za magari hapa jijini Dar hata kama being yake iko juu ilimradi anipe Warrant baada ya kuitengeneza.
Tafadhali nawakilisha.
Sent using...
Hapa kuna Uzi wa garage inajitangaza kupamba gari yako kwa kuweka vitu mbali mbali,kama sikosei inajiita Sound. Nimetafuta Uzi wao umekosa naomba wanitafute nawahitaji kama wapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania bado tunakumbwa na tatizo la uaminifu katika magari. Mtu anaagiza magari ya kuuzwa lakini anaanza kuyachezea Mara atoe radio Mara abadilishe engine nk.
Naomba kama mwenye kujua ninapoweza kupata IST ya kwenye Yard ya magari ambao ni waaminifu.
Tafadhali nipe uelekeo.
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.