Wiki ijayo nataka nifunge ndoa kimya kimya

Wiki ijayo nataka nifunge ndoa kimya kimya

Nyankuru Wankuru

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2018
Posts
1,199
Reaction score
1,349
Wakuu wa kazi wiki ijayo kijana wenu naagana na usinia bachala .

Sitahangainga kuchangisha michango kutoka kwa wadau. Uzuri mke mtarajiwa kasema yeye anachohitaji ni upendo tu. Hayo masuala ya mbwembwe yeye kwake sio kipaumbele.

Yaani nataka huku mtaani kwetu mtu yeyote asijue kabisa .

Yaani watashangaa ninachombo ndani ya mjengo wangu mpya.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la Kheri kwenu katika maisha yenu ya ndoa!
Wakuu wa kazi wiki ijayo kijana wenu naagana na usinia bachala .

Sitahangainga kuchangisha michango kutoka kwa wadau. Uzuri mke mtarajiwa kasema yeye anachohitaji ni upendo tu. Hayo masuala ya mbwembwe yeye kwake sio kipaumbele.

Yaani nataka huku mtaani kwetu mtu yeyote asijue kabisa .

Yaani watashangaa ninachombo ndani ya mjengo wangu mpya.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uyo mwanamke umri ushaenda kachoka tu kutombw pia kaona pa kushikizia si haba mjengo upo, be aware with this thief

Sent using Jamii Forums mobile app
Sazingine nalo hilo neno! Maana hapo hajazungumzia ndoa ambayo ndiyo mkataba wa kuhalalisha kuishi kwao pa1.

Pia hajaongelea kuhusu kumtambulisha kwa ndugu ama wazazi wake.

Asichokielewa huyo dogo, ni ile day1 unapoanza kuishi na mwanamke, mwanamke huyo huanza maramoja kutafuta haki zake.

Wacha acheze na kaa la moto, atakuja juta muda umeshamtupa mkono.
Suala la kuoa si la kulifanya kimzahamzaha kama anavyodhania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli vyuma vimekaza.

#kaa kitaalam...
 
huko kwenu hawatangazagi mfululizo siku 21, mwenye pingamizi na aseme!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom