Political Engineer2
Senior Member
- Feb 23, 2018
- 149
- 117
Wakuu hapa mjini mafudi wa Ac za magari ni wababaishaji,ukipeleka hakatai ila anajaza gas basi kesho yake tatizo linajirudia.
Naomba kujua nani BINGWA wa AC za magari hapa jijini Dar hata kama being yake iko juu ilimradi anipe Warrant baada ya kuitengeneza.
Tafadhali nawakilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua nani BINGWA wa AC za magari hapa jijini Dar hata kama being yake iko juu ilimradi anipe Warrant baada ya kuitengeneza.
Tafadhali nawakilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app